• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAKABIDHI PIKIPIKI MOJA KWA MTENDAJI KATA WA KATA YA MWAWAZA

Posted on: March 12th, 2023

Halmashauri ya Maninspaa ya Shinyanga  imekabidhi Pikipiki moja  kwa Mtendaji wa Kata ya Mwawaza ambayo imetolewa na Serikali Kuu ikiwa ni sehemu ya Pikipiki zilizotolewa kwa ajili ya Watendaji Kata Nchi nzima kwa lengo la kuwarahisishia utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.

Akizungumza wakati wa halfa fupi ya kukabidhi pikipiki hiyo, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko amesema kuwa, anamshukuru sana Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwakumbuka Watendaji wa Kata ambao kwa sehemu kubwa wamekuwa wakishughulika na wananchi moja kwa moja.

Pamoja na maelekezo mengine, Mhe. Masumbuko amemtaka Mtendaji Kata huyo kwenda kuitumia kwa malengo yaliyokusudiwa na kuhakikisha kuwa chombo hicho kinatunzwa zaidi na siyo kwenda kuitumia tofauti na maelekezo kusudiwa.

"Kwanza tunamshukuru sana Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwajali Watendaji wa Kata na hata kuwapatia vitendea kazi ambapo kwetu sisi Manispaa ya Shinyanga tumepata pikipiki moja ambayo leo hii tarehe 10/3/2023 tunamkabidhi Mtendaji Kata ya Mwawaza kwa kuzingatia Jiografia ya eneo hilo na kuwa sehemu kubwa ya makazi huko yametawanyika, hivyo chombo hiki kitaenda kusaidia kusogeza huduma karibu na wananchi na ndiyo kusudio la Serikali," amesema Mhe. Masumbuko.

Awali akimkaribisha Mhe. Masumbuko kukabidhi, Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Manispaa ya Shinyanga Bi. Getrude Gisema alisema kuwa Manispaa imebahatika kupata mgawo wa pikipiki moja ambayo imekwishafika na ambayo atapatiwa Mtendaji Kata ya Mwawaza kwa kuzingatia eneo hilo lilivyo na mahitaji pia.

Kwa upande wake Mtendaji wa Kata ya Mwawaza  Ndg. Gaudios Mombeki alimshukuru sana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa Watendaji Kata na hivyo kuamua kuwarahisishia kazi zao huku akiahidi kwenda kuitunza, kuongeza ufanisi wa kazi zake za kila siku kwa kuwafikia wananchi kwa urahisi na kwenda kuongeza ukusanyaji wa mapato sambamba na kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa vitendo.

Tangazo

  • UANDIKISHWAJI WA WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA January 06, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MPYA June 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA MADIWANI KATA YA MWAMALILI December 07, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    March 25, 2023
  • KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BARABARA INAYOJENGWA NA WALENGWA WA TASAF MANISPAA SHINYANGA

    March 16, 2023
  • RC MNDEME AZURU SHULE YA WASICHANA SHINYANGA, AAGIZA SPIDI YA UJENZI KUONGEZEKA

    March 16, 2023
  • MANISPAA YA SHINYANGA YAKABIDHI PIKIPIKI MOJA KWA MTENDAJI KATA WA KATA YA MWAWAZA

    March 12, 2023
  • Tazama

Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0767042958

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga