• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA MANISPAAYA SHINYANGA YAWATAKA WAKANDARASI KUIPA KIPAUMBELE MIRADI YA ELIMU.

Posted on: January 21st, 2026

Kamati ya Fedha na Utawala Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa hiyo kuipa kipaumbele miradi ya elimu ili ikamilike kwa wakati na kuanza kutoa huduma bora kwa wanafunzi.

Wito huo umetolewa na Naibu Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Pendo John Sawa, leo Januari 21, 2026, wakati wa ziara ya Kamati ya Fedha na Utawala iliyotembelea miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa ndani ya Manispaa kwa lengo la kujionea hali ya utekelezaji na maendeleo yake.

Akizungumza katika ziara hiyo, Mhe. Pendo amesema kuwa licha ya miradi yote kuwa na umuhimu mkubwa kwa jamii, miradi ya elimu inapaswa kupewa kipaumbele cha pekee kutokana na uhitaji wake wa haraka, hususan kwa wanafunzi wanaohitaji mazingira bora, salama na rafiki ya kujifunzia.

“Miradi yote ya maendeleo ni muhimu kwa jamii yetu, lakini ni lazima tuweke mkazo zaidi kwenye miradi ya shule ili ikamilike kwa wakati na watoto wetu wapate maeneo bora na salama ya kusomea,” amesema Mhe. Pendo.

Kwa upande wake, Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Ndg. Peres Kamugisha, amesema Menejimenti ya Manispaa itaendelea kushirikiana na Kamati ya Fedha, Waheshimiwa Madiwani pamoja na wadau wengine kwa lengo la kuhakikisha miradi yote inatekelezwa kwa ubora unaotakiwa na kwa kuzingatia thamani ya fedha.

Amesema hatua hiyo inaendana na dira ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora katika mazingira salama na rafiki.

Nao baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wameipongeza Menejimenti ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa juhudi zake za kusogeza huduma karibu na wananchi pamoja na usimamizi wa miradi ya maendeleo inayolenga kuboresha maisha ya wananchi.

Katika ziara hiyo, Kamati ya hii  imetembelea jumla ya miradi mitano (05) ikiwemo ujenzi wa Shule Mpya ya Butulwa, ujenzi wa madarasa ya Shule ya Msingi Bugayambelele, ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenzi, ukarabati wa vyumba vya madarasa Shule ya Msingi Mwamapalala, pamoja na kukagua ujenzi wa Stendi Mpya ya Mabasi ya Mikoa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MANISPAA YA SHINYANGA YAENDELEA KUWAWEZESHA WALIMU WA SEKONDARI KUTEKELEZA MTAALA MPYA WA ELIMU.

    January 22, 2026
  • KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA MANISPAAYA SHINYANGA YAWATAKA WAKANDARASI KUIPA KIPAUMBELE MIRADI YA ELIMU.

    January 21, 2026
  • WANANCHI WAASWA KUEPUKA MIKOPO KAUSHA DAMU

    January 06, 2026
  • FUATILIA MATUKIO MBALIMBALI YA MANISPAA YA SHINYAGA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII

    September 30, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga