• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WANANCHI WAASWA KUEPUKA MIKOPO KAUSHA DAMU

Posted on: January 6th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Wakili Julius Mtatiro, amewataka wananchi kuacha kukopa mikopo umiza maarufu kausha damu kutokana na athari zake kwa ustawi wa maisha yao na maendeleo ya kiuchumi.


Mhe. Mtatiro ametoa wito huo leo Januari 06, 2026, wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita katika mkutano wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi uliofanyika katika viwanja vya Zimamoto - Nguzonane, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.


Akizungumza katika mkutano huo, Wakili Mtatiro amewasihi wananchi kuachana na mikopo hiyo yenye riba kubwa na badala yake kujikita katika mikopo isiyo na riba ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani huku akibainisha kuwa mikopo hiyo inalenga kuwawezesha wananchi kiuchumi bila kuwaumiza.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Alexius Kagunze, amesema kuwa katika jitihada za kuwanusuru wananchi dhidi ya mikopo umiza, Halmashauri tayari imeidhinisha zaidi ya shilingi milioni 490 kwa ajili ya vikundi 30 vya kinamama, vijana na watu wenye ulemavu vilivyokidhi vigezo vya kupatiwa mikopo hiyo.


Katika hatua nyingineMwl. Kagunze amewahimiza wananchi kuunda vikundi ili waweze kunufaika na mikopo hiyo isiyo na riba huku akisisitiza kuwa lengo la Halmashauri ni kukuza uchumi wa wananchi na kuimarisha ustawi wa jamii kwa ujumla.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • WANANCHI WAASWA KUEPUKA MIKOPO KAUSHA DAMU

    January 06, 2026
  • FUATILIA MATUKIO MBALIMBALI YA MANISPAA YA SHINYAGA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII

    September 30, 2025
  • KASI YA MAENDELEO SHINYANGA YAMKOSHA RC MHITA

    September 26, 2025
  • BARAZA LA WAZEE MANISPAA YA SHINYANGA LAADHIMISHA SIKU YA WAZEE KWA KUTOA MSAADA KITUO CHA KOLANDOTO.

    September 20, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga