• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu

IDARA YA UCHUMI NA MIPANGO

Idaraya Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji inashughulikia na uunganishaji wa shughuli zote za upangaji na uratibu wa mipango ya maendeleo ya Halmashauri, Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo ya Halmashauri, ukusanyaji wa Takwimu, utayarishaji wa bajeti, pamoja na kuratibu shughuli za Uwekezaji katika Manispaa ya Shinyanga. Pia Idara inajishughulisha na uandaaji na kuwasilisha taarifa mbalimbali zinazoandaliwa na Idara zingine zilizopo kwenye Halamshauri na katika Ngazi ya Kata na Vijiji.

Idara hii imegawanyika katika sehemu Kuu tatu (3)  kama ifuatavyo:-

Sera na Mipango

Usimamizi na Ufuatiliaji wa Miradi ya Maendeleo.

Takwimu.

SEHEMU YA SERA NA MIPANGO.

Majukumu ya sehemu hii ni kama ifuatavyo:-

Kuratibu uandaaji wa Mipango shirikishi katika Kata zote za Halmashauri kupitia Mfumo wa O&OD kila mwaka .

Kuratibu na kuandaa Mpango na Bajeti ya kila mwaka ya Halmashauri.

Kuratibu uandaaji wa maandiko ya miradi mbalimbali ya maendeleo (Project Proposal).

Kusimamia Uandaaji wa mpango wa utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi kila mwaka.

Kusimamia uandaaji wa Mpango kazi (Action Plans) na Mtiririko wa fedha (Casha Flow) ya bajeti kila mwaka

Kuratibu maandalizi ya Sera na Mpango Mkakati wa Halmashauri.

Kusimamia utayarishaji na uandaaji wa Taarifa za utekelezaji wa Hesabu za Serikali kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)

SEHEMU YA USIMAMIZI, UFUATILIAJI NA TATHMINI YA MIRADI YA MAENDELEO.

Majukumu ya sehemu hii yapo kama ifuatavyo:-

Kufanya ufuatiliaji na Usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Kuandaa taarifa za Miradi ya maendeleo ya Halmashauri kila robo mwaka

Kuandaa mapitio ya bajeti ya kila mwaka baada ya kipindi cha nusu mwaka

Utasimamia na kuratibu  fedha za miradi ya maendeleo kutoka mapato ya ndani ya 40% ya Halmashauri ili kuhakikisha kila mwezi tunatengewa

SEHEMU YA TAKWIMU.

Sehemu hii hushughulikia masuala yanayohusu takwimu mbalimbali za kiuchumi na kijamii pamoja na kuratibu shughuli za utafiti kama ifuatavyo:-

Kuratibu na kusimamia benki ya Takwimu ya Halmashauri.

Kuhuisha na kuboresha Takwimu za Kiuchumi na Kijamii (Social-economic Profile) ya Halmashauri.

Kuratibu na kuhifadhi takwimu za Idadi ya watu za Halmashauri kwa kutumia rejista za wakazi wa Mitaa.

Kufanya tathmini ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Halmashauri.

Kukusanya, kuandaa kuchambua na kutoa takwimu na taarifa mbalimbali za kiuchumi na kijamii kwa wadau.

Kutunza na kuimarisha matumizi ya mifumo muhimu ya Takwimu ikiwemo Mifumo ya upangaji na utoaji taarifa (Plan – Rep, LGMD, Rejista za wakazi na BREMIS).

Takwimu za Haraka

Idadi ya Maoteo ya watu kwa Mwaka 2018 Watu = Me 98,289, Ke 103,508 Jumla 201,797

Idadi ya Tarafa  - 03

Idadi ya Kata  - 17

Idadi ya Mitaa  - 55

Idadi ya Vijiji  - 17

Idadi ya Vitongoji – 84

Ukubwa wa Eneo ni Km za Mraba 548

Idadi ya Shule za Msingi za Serikali -  48

Idadi ya Shule za Msingi za Binafsi –

Idadi ya Shule za Sekondari za Serikali – 17

Idadi ya Shule za Sekondari za Binafsi –

 Bajeti ya Mwaka 2019/2020 – Tsh 28,386,979,090

Mapato ya Ndani kwa Mwaka 2019/2020 Tsh 3,023,228,546

Asilimia 40 ya Mapato ya ndani kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo Tsh 1,196,000,000

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga