• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KAMATI YA USALAMA WILAYA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: March 10th, 2023

KAMATI ya Usalama Wilaya ya Shinyanga ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi Machi 9, 2023 imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ikiwa ujenzi wa Shule ya Sekondari Wasichana ya Butengwa ambayo bado inaendelea na ujenzi, ukarabati wa Bweni la Shule Maalumu ya Buhangija, ujenzi wa soko la wafanyabiashara wa bidhaa ndogo ndogo la Ibinzamata na soko la mtumba lilipo Kata ya Ngokolo pamoja na ujenzi wa jengo la Utawala lililopo katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa.

Mwenyekiti wa kamati ya Usalama, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mh. Johari Samizi (kushoto), akifanya ukaguzi wa Darasa la Shule ya Sekondari Butengwa

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara hiyo Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Samizi aliitaka Menejimenti ya Manispaa kuhakikisha kuwa inazingatia ubora wa viwango vinavyohitajika katika kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kuzingatia muda wa mikataba inayosainiwa wakati wa kuanza kazi hizo huku akimtaka Mhandisi Kassim Thadei wa Manispaa kuwa makini zaidi katika kusimamia miradi hiyo ya Manispaa kwani inatokana na kodi za wananchi wa Manispaa ya Shinyanga.

Aidha wajumbe wa kamati ya usalama walishauri uwepo ukaguzi wa karibu na wa mara kwa mara katika kusimamia kazi hizo ambazo kwa mtazamo wa kawaida tuu ni kuwa umegharimu fedha nyingi sana na kwa sehemu kubwa inatekelezwa kwa mapato ya ndani ukiachilia mbali jengo la Utawala ambalo linatekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu.

Ukaguzi uliofanywa na Kamati ya Usalama katika miradi ya maendeleo, ni utaratibu wa kawaida kabisa katika kuhakikisha kuwa kuna uwajibikaji wa kweli katika usimamizi na ufuatiliaji wa shughuri za kila siku katika Manispaa ya Shinyanga, jambo ambalo linapelekea kuwepo kwa imani kwa wananchi juu ya Serikali yao katika kuwapelekea huduma karibu yao zaidi.

Tangazo

  • UANDIKISHWAJI WA WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA January 06, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MPYA June 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA MADIWANI KATA YA MWAMALILI December 07, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BARABARA INAYOJENGWA NA WALENGWA WA TASAF MANISPAA SHINYANGA

    March 16, 2023
  • RC MNDEME AZURU SHULE YA WASICHANA SHINYANGA, AAGIZA SPIDI YA UJENZI KUONGEZEKA

    March 16, 2023
  • MANISPAA YA SHINYANGA YAKABIDHI PIKIPIKI MOJA KWA MTENDAJI KATA WA KATA YA MWAWAZA

    March 12, 2023
  • KAMATI YA USALAMA WILAYA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA SHINYANGA

    March 10, 2023
  • Tazama

Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0767042958

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga