• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KAMATI YA LISHE MANISPAA YA SHINYANGA YAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA UTOAJI LISHE

Posted on: May 5th, 2023

Na Shinyanga MC

Kamati ya Lishe katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imeweka mikakati zaidi katika kuboresha

utekelezaji wa shughuki zake kwa Kata zote 17 za Manispaa ikiwa ni pamoja na kuongeza utoaji wa

elimu kwa umma, kusimamia zoezi la utoaji wa chakula mashuleni, kuanzisha vitalu vya mbogamboga

katika shule zote kwa ajili ya wanafunzi kula mchana pamoja na kutekeleza kwa vitendo Siku ya Afya na

Lishe ambayo itakuwa ikifanyika katika ngazi za Vijiji, Mitaa na Kata.

Akielezea mikakati hiyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Lishe Manispaa ya Shinyanga Ndg. Jomaary Mrisho

Satura ambaye ndiye Mkurugenzi wa Manispaa aliwaeleza wajumbe kuwa ni muhimu sana kwa kila

mjumbe kwenda kuisimamia ajenda ya Lishe kwenye eneo lake kwa umakini, weledi na ubunifu zaidi,

usimamizi na ufuatiliaji wa ulimaji wa viazi lishe pamoja na mambo mengine ili lengo la kukabiliana na

tatizo la Lishe kwa Manispaa ya Shinyanga lifikiwe kwa asilimia 100.

"Twendeni tukasimamie mambo yote yanayohusu Lishe ikiwa ni pamoja na kuanzisha, kusimamia na

kuboresha vitalu vya mbogamboga katika kila shule, utoaji wa elimu ya Lishe uwe endelevu, utoaji wa

chakula kwa kila shule, upimaji wanafunzi ili kujuwa afya zao, kuhuisha taarifa zote na ifike wakati sasa

Manispaa ya Shinyanga iwe kama Duka ambalo lina kila kitu ambacho wengine wanapokuja kujifunza

kwetu kila kitu wakikute kipo vizuri na kwa usahihi," alisema Satura.

Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Lishe kwa Manispaa ya Shinyanga kwa kipindi cha

robo ya pili 2022/2023 Afisa Afya na Lishe wa Manispaa Ndg. Amani Benson Mwakipesile alisema kuwa

Manispaa imetekeleza suala la kuhamasisha uzalishaji na unywaji wa maziwa ili kuboresha afya kwa

wananchi, kuhamasisha kilimo cha viazi lishe kayika Kata 1o kati 17 za Mansispaa.

Amani alisema kuwa, ukaguzi ulifanyika na unaendelea kufanyika katika Viwanda vyote kuhakikisha

kuwa kwenye kila uzalishaji wao wa vyakula kuna virutubisho vyote pamoja na madini joto, kuhakiki

Klabu za Afya Lishe na Mazingira katika Shule za Msingi zote, kubainisha watoto wote wenye utapiamlo

na kupatiwa matibabu, na umuhimumwa matone ya Viatmin A kwa chini ya watoto wenye umri chini ya

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga