• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WATENDAJI MANISPAA YA SHINYANGA WAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS

Posted on: September 22nd, 2023

WATENDAJI MANISPAA YA SHINYANGA WAANZA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS.


Na. Shinyanga Mc


Watendaji wa Kata, Mtaa na Vijiji wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga leo tarehe 22 Septemba, 2023 wameanza Mafunzo ya Mfumo wa Malipo Ngazi ya Vituo vya kutolea huduma, ofisi za Kata, Mitaa na Vijiji (FFARS) katika ukumbi wa shule ya msingi Buhangija katika Kata ya Ibinzamata.


Akizungumza katika ufungunzi wa mafunzo hayo Ndg. Mulokozi Kishenyi ni Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa Manispaa ya Shinyanga amewaeleza washiriki wa mafunzo haya kuwa Serikali imeleta mfumo huu ili kurahisisha kazi katika utendaji kazi, kuimarisha usimamizi mzuri wa fedha na kusaidia ufuatiliaji pamoja na utoaji wa taarifa za fedha za miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa maeneo mbalimbali nchini kwa urahisi.


"Kutokana na uwepo wa mfumo huu, usimamizi wa fedha za umma umeimarika, upatikanaji wa taarifa za fedha umeimarika, uunganishaji wa taarifa za fedha za Serikali (final Account) umeimarika, utekelezaji na ukamilishaji wa miradi ya Serikali umeimarishwa pamoja na udhibiti wa ubadhilifu wa fedha za miradi umeimarishwa" alisema Ndg. Kishenyi


Ndg. Kishenyi amewaeleza washiriki kuwa kutokana na umuhimu wa mfumo huo, katika mwaka wa fedha 2023/2024 Serikali imeamua kuanza kuutumia mfumo wa FFARS kwenye ngazi za Kata, Mitaa na Vijiji ili matumizi ya fedha zote za Umma yafanyike kupitia mfumo na hivyo kuzidi kuimarisha usimamizi, ufuatiliaji na utoaji wa taarifa za fedha za Umma kila ifikapo mwisho wa mwaka.


Sanjali na hilo, Ndg. Kishenyi amewasisitiza washiriki wa mafunzo haya kufuatilia kwa umakini mafunzo ili baada ya mafunzo waanze kuutumia mfumo katika kupokea fedha na kufanya malipo mbalimbali, kwani baada ya mafunzo hayo hakuna malipo yatakayofanyika nje ya mfumo.


Kupitia mfumo huu wa FFARS unaenda kurahisisha kazi kwa watendaji katika malipo mbalimbali na kusaidia Serikali kupata taarifa za fedha zenye usahihi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga