• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WANAFUNZI WA KIJESHI KUTOKA CHUO CHA CSC ARUSHA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO YA NDANI MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: October 9th, 2023

WANAFUNZI WA KIJESHI KUTOKA CHUO CHA CSC ARUSHA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO YA NDANI MANISPAA YA SHINYANGA.

Na. Shinyanga Mc

Wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha kijeshi kinachotoa mafunzo kwa Maafisa wakuu wa Jeshi kutoka Mataifa mbalimbali kwa ngazi ya cheo cha Meja na kuendelea katika Chuo cha Ukamanda na Unadhimu Duluti Mkoani Arusha leo tarehe 9 Oktoba, 2023 wamefanya ziara ya mafunzo ya ndani katika Manispaa ya shinyanga.

Akitoa salam za Chuo Kanali Khamis Ngoi Mkuu wa msafari alieleza kuwa wamekuja Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya kiutawala pamoja na shughuli za maendeleo ya kijamii na uchumi yanavyoweza kuhuishwa ili kuleta amani na usalama.

"Tumekuja Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali lakini pia tumeichagua manispaa ya shinyanga kuwa sehemu yetu ya mafunzo kwasababu manispaa ya shinyanga imekaa kimkakati na inazo rasilimali za kutosha kwa ajili ya kujifunzia" alisema Kanali Ngoi

Wakiwa Manispaa ya Shinyanga Wanafunzi hao wa kijeshi waliweza kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo mambo ya kiutawala, shughuli za maendeleo ya kijamii na kiuchumi yanavyoweza kuhuishwa ili kuendana sawa na masuala ya amani na usalama , namna ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia mapato ya ndani pamoja na mila na desturi za watu wa mkoa wa shinyanga.

Sanjali na hilo , Wanafunzi hao wakijeshi waliweza kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo shule mpya ya msingi ibadakuli, soko la mitumba ngokolo, kituo cha afya kambarage na soko kuu la shinyanga.

Aidha kwa Upande wa Manispaa ya Shinyanga timu iliongozwa na Mhe. Zamda Mwebea Naibu Meya Manispaa ya Shinyanga pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo iliwashukuru kwa kuichagua Manispaa ya Shinyanga kama sehemu yao ya kujifunza na kwamba uongozi wa Manispaa pamoja na mambo mengine umewakaribisha wakati wowote.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga