• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WALIMU WA MALEZI SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUONI MANISPAA YA SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO YA UANZISHWAJI WA KLABU ZA MAADILI

Posted on: October 24th, 2023

WALIMU WA MALEZI SHULE ZA MSINGI,SEKONDARI NA VYUONI MANISPAA YA SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO YA KLABU ZA MAADILI.

Na. Shinyanga Mc

Walimu wa Malezi shule za Msingi, Sekondari na Vyuoni Manispaa ya Shinyanga leo tarehe 23 Oktoba, 2023 wamepatiwa mafunzo ya uanzishwaji wa klabu za maadili katika ukumbi wa Ofisi za Tarula Manispaa ya Shinyanga.

Akizungumzo katika ufunguzi wa mafunzo haya Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Ndg. Ibrahim Makana amesema lengo la Klabu za Maadili ni kuwajengea wanafunzi na wanavyuo misingi bora ya maadili kuanzia mashuleni mpaka wanapofika vyuoni.

“Lengo la klabu za maadili mashuleni na vyuoni ni kuwajengea wanafunzi kuwa na nidhamu nzuri kuanzia wanapokuwa shule mpaka wanapofika vyuoni ili kujenga kizazi chenye maadili mema “amesema Ndg. Makana

Kwa Upande wake Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi Ndg. Gerald Mwaitebele amesema Klabu hizi zitasaidia kuwajengea wanafunzi kujua maadili yanayopaswa kuzingatiwa katika ujenzi wa Taifa letu pamoja na kuwa mzalendo wa kweli katika Taifa ili kuweza kupata viongozi wenye maadili na kizazi chenye uadilifu, huku akiwata walimu kutumia vikao vya wazazi mashuleni kufikisha ujumbe wa mambo ya maadili kupitia klabu walizozianzisha.

Aidha, Ndg. Mwaitebele ameeleza sifa za mwalimu anayefaa kuwa mlezi katika klabu za maadili ikiwemo Mwadilifu, Mwaminifu, Muwazi,Mzalendo, Mchapakazi na anayekubalika kimaadili na wanafunzi.

Pamoja na mambo mengine Timu ya Waratibu wa Mafunzo haya ikiongozwa na Ndg. Mwaitebele ilipata wasaa wa kutembelea shule mbalimbali ambazo tayari zimeanzisha klabu za maadili ikiwemo Shule ya sekondari Chamaguha, shule ya sekondari Uhuru, shule ya msingi Jomu, shule ya msingi Town, shule ya msingi Kambarage pamoja na shule ya msingi uhuru ambapo wanafunzi waliandaa nyimbo na maigizo mbalimbali yenye kuhamasisha maadili mema.

Kuanzishwa kwa Klabu za maadili mashuleni na vyuoni kunaenda kuwasaidia wanafunzi kutoka katika tabia hatarishi na kuwasaidia wanafunzi kupata maadili mema kuanzia nyumbani mpaka vyuoni na kuleta picha nzuri katika jamii wanazoishi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga