• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

“VIONGOZI WA KATA HAKIKISHENI WANAFUNZI WOTE WAMERIPOTI SHULE NA WAMEANDIKISHWA WANAFUNZI WAPYA”.DC MTATIRO

Posted on: January 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius S. Mtatiro ametoa maagizo kwa watendaji wa Kata, vijiji, mitaa na vitongoji, maafisa Elimu Msingi na sekondari kata, Waratibu Elimu Msingi na sekondari ngazi ya kata Kuhakikisha watoto wote waliochaguliwa kujiunga na kidato Cha kwanza 2025 pamoja na watoto waliofika umri wa kuanza Darasa la awali na Msingi wanaandikishwa ndani ya muda.


Wakili Mtatiro ametoa maagizo hayo Leo Januari 10,2025 kwenye kikao kazi na Walimu wakuu Shule za Msingi na Sekondari za Serikali na binafsi, Waratibu Elimu, Maafisa Elimu Msingi na Sekondari, watendaji wa Kata, vijiji, mitaa na vitongoji kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, kikao kilichofanyika Ukumbi wa mikutano Shule ya wasichana Shinyanga iliyopo kata ya Butengwa kata ya Ndembezi.


“Isitokee kesi yoyote kwa mzazi kuzuiwa mtoto wake kujiunga na kidato Cha kwanza eti kwa kigezo Cha hana sare za shule, wanafunzi wote wapokelewe, Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wetu Mpendwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya kila liwezekanalo ili kuweka mazingira na miundombinu bora zaidi ya kuwapokea wanafunzi wa Darasa la awali na Msingi kwenye kila shule kulingana na hali na mazingira waliyonayo, ninyi mkiwa viongozi mlio karibu sana na jamii niwaombe nendeni mkatoe ushirikiano wa hali ya juu ili tuhakikishe Watoto wote wanapata Elimu”.Amesema Wakili Mtatiro.


Katika hatua nyingine Wakili Mtatiro amewataka walimu wakuu Kuhakikisha katika muhula huu wa masomo wanasimamia na kutoa mitihani ya mara kwa mara ya ndani ili kuwawezesha wanafunzi kuwa na kiwango kizuri Katika mitihani yao ya kitaifa.


Halmashauri ya manispaa ya shinyanga kwa mwaka wa masomo 2025 imejipanga kuandikisha Jumla ya wanafunzi wa Darasa la awali 5,936, huku darasa la kwanza na Msingi 5,288 huku kidato cha kwanza Jumla ya wanafunzi 4,274 wavulana wakiwa ni 1,867 na Wasichana wakiwa 2,407.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga