• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

VIONGOZI MANISPAA YA SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO YA KUZUIZ NA KUPAMBANA NA RUSHWA PAMOJA NA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA

Posted on: December 8th, 2023

VIONGOZI MANISPAA YA SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA PAMOJA NA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA.


Na. Shinyanga Mc


Viongozi Halmshauri ya Manispaa ya Shinyanga wakiwemo Waheshimiwa Madiwa, Watendaji wa Kata, Mitaa na vijiji leo tarehe 8 Novemba, 2023 wamepatiwa mafunzo ya kuzuia na kupambana na rushwa pamoja na maadili kwa viongozi wa umma katika ukumbi wa kalinjuna uliopo katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.


Akifungua mafunzo haya kaimu Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Ndg. Stephen Okoth amewataka washariki kusikiliza kwa makini huku akiwaeleza kuwa wajibu wa kuzuia na kupambana na rushwa si (TAKUKURU ) bali ni jukumu la jamii nzima pamoja na maadili kwa viongozi wa umma ni wajibu wa kila mtumishi wa umma.


"Niwaombe washiriki muwe wasikivu katika mafunzo haya na tutambue kuwa swala la kupambana na kuzuia rushwa sio TAKUKURU tu bali ni jukumu la jamii nzima pia maadili kwa kila kiongozi ni jukumu la kila mmoja wetu."amesema Ndg. Okoth


Kwa Upande wake Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi Ndg. Gerald Mwaitebele ameeleza kwamba ikiwa wanaelekea kwenye maadhimisho ya siku ya Maadili kitaifa ambapo kilele chake ni tarehe 10 Novemba, 2023 basi wameamua kuja kutoa mafunzo kwa viongozi ili waweze kuwakumbushia sheria ya maadili ya viongozi wa umma, maadili katika sekta ya umma pamoja na mgongano wa maslahi katika utumishi.


Aidha, akiongea katika utangulizi wa mafunzo haya naye Ndg. Mohamed Doo Afisa Uchunguzi TAKUKURU Mkoa wa shinyanga, amewaeleza washiriki kuwa lengo la mafunzo haya ni kubadilishana uzoefu ili kuwawezesha viongozi kuwa na uelewa utakao wasaidia kujua rushwa, madhara yake katika kazi hasa wanapohudumia jamii na njia ya kuiepuka.


Kila kiongozi wa umma au mtumishi anapaswa kuhakikisha kuwa anatoa huduma ipasavyo bila kutegemea kupewa zawadi kama asante kwani inamfanya mtoaji au mpokeaji kujenga tabia ya kutegemea zawadi ili atoe au apokee huduma jambo ambalo hupelekea rushwa swala ambalo ni kosa na si maadili kwa mtumishi wa umma.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga