• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

UONGOZI WA TIMU YA JKT WAFIKA OFISI YA MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA KUJITAMBULISHA

Posted on: September 28th, 2023

UONGOZI WA TIMU YA JKT WAFIKA OFISI YA MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA KUJITAMBULISHA


Na. Shinyanga Mc


Uongozi wa Timu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) leo tarehe 28 Septemba, 2023 wamefika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga kwa lengo la kujitambulisha.


Ambapo Mwenyekiti wa Timu hiyo ya JKT Capt. Godwin Ekingo aliongozana na Mwenyekiti wa chama cha mpira Shinyanga Ndg. Said Mankilingo, Afisa Michezo Mkoa wa Shinyanga Bi Jesca Simuchile pamoja na Masau Bwire kiongozi wa timu ya JKT.


Lengo la uongozi huo kufika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ni kujitambulisha na kuitambulisha timu ya JKT ambayo kwa sasa imepanda daraja na kwa mwaka huu itacheza ligi kuu Nchini na kesho tarehe 29 Septemba, 2023 itachuana na kagera Sugar katika viwanja vya CCM Kambarage Shinyanga.


Aidha, Viongozi hao waliiomba Serikali kuendeleza mahusiano mazuri katika kutoa ushirikiano kwenye timu za mpira pamoja na katika kutoa hamasa kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika mechi mbalimbali.


Kwa Upande wake Mhe. Johari Samizi Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga amewapokea kwa mikono miwili na kuwaahidi kuwapa ushirikiano muda wowote na wakati wowote.


Timu ya JKT imechagua kiwanja cha CCM Kambarage kuwa ni uwanja wa nyumbani ambapo kesho watacheza na Kagera Sugar na tiketi za mechi ya kesho zinapatika VVIP na VIP ni Tsh 3000/= na sehemu ya kawaida bei Tsh 2000/=


Aidha, tiketi hizo zinapatika chini ya uratibu wa TTCL Shinyanga katika maeneo ya Uwanja wa Kambarage getini, eneo la Soko Kuu pamoja na Standi ya Wilaya .


Pamoja na Mambo mengine uongozi wa Timu ya JKT wameishukuru Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Ofisi ya Mkuu wa wilaya pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa kwa kufanya marekebisho ya kiwanja cha Kambarage na hatimaye ukakubaliwa na kuruhusiwa kutumika kwa mashindano ya ligi kuu Tanzania Bara.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga