• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

RC MNDEME AWATAMBELEA WAHANGA WALIOBOMOLEWA NYUMBA KUFUATIA MVUA KUBWA ZINAZOENDELEA KUNYESHA.

Posted on: March 5th, 2024

RC MNDEME AWATAMBELEA WAHANGA WALIOBOMOLEWA NYUMBA KUFUATIA MVUA KUBWA ZINAZOENDELEA KUNYESHA.


Na. Shinyanga Mc


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme leo tarehe 5 Marchi, 2024 amewatembelea wahanga waliobomolewa nyumba kufuatia mvua kubwa iliyonyesha siku ya Jumamosi tarehe 2 Marchi, 2024 katika kijiji cha bugayambelele kata ya kizumbi akiwa ameambatana na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa pamoja na kamati ya maafa ya Manispaa ya shinyanga ambapo nyumba 79 zimebomoka na kuezuliwa paa.


Akitoa salamu za pole kwa wananchi wa kata ya kizumbi kijiji cha bugayambelele Mhe. Mndeme amewataka wakazi wa bugayambelele kuendelea kuchukua taadhari ya kutoka katika makazi ambayo tayari yanaonesha si imara na kuwasahuri mvua zitakapo isha wajenge nyumba zenye uimara japo kwa kuweka misingi imara ili kuepuka maafa wakati wa mvua.


“ Poleni sana ndugu kwa kupoteza nyumba na baadhi ya mifugo jukumu la serikali ni kulinda watu na mali zao hivyo niwaombe pindi mvua zitakapo malizika tujitaidi kujenga nyumba zenye uimara angalau kwa kujenga misingi iliyoimara na kuezeka kwa ubora zaidi ili kuepuka maafa wakati wa mvua.” amesema Mhe. Mndeme


Pamoja na mambo mengine diwani wa kata ya kizumbi Mhe. Reuben Kitinya ameishukuru serikali kwa kuwa mstari wa mbele pindi wananchi wanapopata changamato kwa kutoa misaada mbalimbali na kuwapatia hifadhi za makazi ya muda pindi wanapokosa makazi ya kuishi.


Aidha, kufuatia mvua hii iliyonyesha jumla ya kaya 68 zenye watu 276 zimeathirika , idadi ya majeruhi 3 ambapo wamepatiwa matibabu na wanaendelea vizuri, nyumba 79 zimeathirika kwa kubomoka na kuizuliwa paa , makanisa 2 na msikiti 1 yamebomolewa na jumla ya kuku 314 wamekufa.


Kamati za maafa kwa kila kata zinaendelea kutoa elimu na tahadhari juu ya mvua hizi zinazoendelea kunyesha.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga