• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

RC MNDEME APOKEWA RASMI OFISI ZA MKOA WA SHINYANGA, ATOA AGIZO LA WATOTO KURIPOTI SHULE

Posted on: March 1st, 2023

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mh. Christina Solomon Mndeme, leo Machi 1, 2023 amepokewa rasmi katika Ofisi za Mkoa wa Shinyanga baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Februari 26, 2023.

Akitoa salamu za Serikali baada ya mapokezi mazuri, Mh. Mndeme aliwaomba wapokee salamu za upendo wa dhati kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na kisha akawaomba ushirikiano ambao utapelekea uwajibikaji maridadi katika kazi huku akisisitiza mahusiano mazuri kazini kwa lengo la kustawisha maendeleo kwenye kazi na kuimarisha Utawala Bora kwa watumishi wa ngazi zote katika Mkoa.

“Naomba tupeane ushirikiano mzuri katika kazi, nipo tayari kushirikiana nanyi wakati wote, nami naombeni ushirikiano wenu kwa pamoja ulio na lengo la kujenga na pia niseme tuu kuwa Ofisi yangu ipo wazi wakati wote karibuni njooni tushauriane kwa lengo kuboresha na kutoa huduma iliyo bora kwa wananchi wetu," akisisitiza Mhe. Mndeme.

“Sisi ni kitu kimoja, tukuze mahusiano kazini maana hili ni jambo la muhimu sana, tuyaongeze mahusiano. Nikisikia mahali fulani hakuna mahusiano mazuri lazima nimuite mhusika na kumueleza. Tuendelee kuyadumisha mahusiano mazuri katika kazi ili tusije kuanza kunyosheana vidole.” amesema Mh. Mndeme.

Aidha, mbali na kuboresha mahusiano, Mh. Mndeme amewataka watendaji wote kuhakikisha jitihada za watoto kuripoti shuleni zinafanyika, akiamini kuna baadhi ya ambao hawajaripoti mpaka sasa.

“Naona kuna changamoto ya watoto kutoripoti shule, twendeni tukawatafute ili wapate elimu ambayo ni haki yao ya msingi, tukawatafute popote walipo kila Halmashauri ikawatafute watoto wote walipo ili wakaripoti mashuleni, ni lazima wakasome, penye changamoto tutasaidiana sababu mimi ni Mwalimu Mkuu wa Mkoa kwa sasa," amesema Mh. Mndeme.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga amepokelewa na Katibu Tawala Mkoa Prof. Siza Tumbo, Kamati ya Usalama Mkoa, Wahe. Wakuu wa Wilaya za Shinyanga, Kishapu, Kahama, Makatatibu Tawala Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri za Manispaa na Wilaya, Wakuu wa Divisheni, Vitengo pamoja na watumishi wengine mbalimbali wa ndani ya Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga.

Mhe. Mndeme amepokea Ofisi kutoka kwa mtangulizi wake Mhe. Sophia Mjema ambaye aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Sukuhu Hassan kuwa Katibu wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Januari 2023.

Tangazo

  • UANDIKISHWAJI WA WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA January 06, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MPYA June 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA MADIWANI KATA YA MWAMALILI December 07, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BARABARA INAYOJENGWA NA WALENGWA WA TASAF MANISPAA SHINYANGA

    March 16, 2023
  • RC MNDEME AZURU SHULE YA WASICHANA SHINYANGA, AAGIZA SPIDI YA UJENZI KUONGEZEKA

    March 16, 2023
  • MANISPAA YA SHINYANGA YAKABIDHI PIKIPIKI MOJA KWA MTENDAJI KATA WA KATA YA MWAWAZA

    March 12, 2023
  • KAMATI YA USALAMA WILAYA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA SHINYANGA

    March 10, 2023
  • Tazama

Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0767042958

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga