• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

RC MNDEME AONGOZA KONGAMANO LA WANAWAKE WA MKOA WA SHINYANGA LA KUMPONGEZA MAMA SAMIA

Posted on: October 12th, 2023

RC MNDEME AONGOZA KONGAMANO LA WANAWAKE WA MKOA WA SHINYANGA LA KUMPONGEZA MAMA SAMIA .

Na. Shinyanga Mc

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme leo tarehe 12 Oktoba, 2023 ameongoza kongamano la Wanawake wa Mkoa wa Shinyanga la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mambo makubwa anayofanya kwa Wanashinyanga katika ukumbi wa shule ya sekondari Savannah plain ibadakuli Manispaa ya Shinyanga.

Akizungumzo katika kongamano hili Mhe. Mndeme amesema kwamba Wanawake wa Mkoa wa Shinyanga wameua kumpongeza Rais wetu kwa sababu Shinyanga ya sasa sio Shinyanga ya zamani, maendeleo makubwa ya kiumchumi na kijamii yanaonekana, Wanashinyanga tunasema kila kijiji kimefikiwa hakuna kilichosimama kazi inaendelea kwa vitendo.

"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amegusa kila eneo mpaka vijijini, Wanashinyanga tunasema kila vijiji vimefikiwa hakuna kilichosimama kazi inaendelea kwa vitendo " alisema Mhe. Mndeme

Sanjali na hilo Mhe. Mndeme ameeleza kuwa kwa kipindi cha awamu ya sita Mkoa wa Shinyanga umepokea fedha takribani Tsh Trioni 1 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Miradi ya Maendeleo kupitia Mamlaka ya Serikali za Mitaa , Serikali kuu pamoja na Taasisi za Serikali katika Sekta ya Elimu, Afya, Maji, Kilimo,Nishati, Utawala, Viwanda na Uwekezaji pamoja na Sekta ya madini,

Aidha, Mhe. Mndeme ameeleza kuwa Mhe. Rais ametoa jumla ya bilioni 30.61 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za kunusuru kaya masikini kwa kuboresha nyumba zao za kuishi pamoja na kuwaanzishia miradi ya kujiongezea kipato ikiwemo ufugaji, kilimo na ujasiriamali.

Pamoja na mambo mengine Wanawake wa Mkoa wa Shinyanga wanamshukuru sana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapenda na kuwaletea maendeleo makubwa Wanashinyanga.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga