• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MWL. KAGUNZE AFANYA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, MITAA NA VIJIJI MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: October 20th, 2023

MWL. KAGUNZE AFANYA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA , VIJIJI NA MITAA MANISPAA YA SHINYANGA.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze leo tarehe 20 Oktoba, 2023 amefanya kikao kazi na Watendaji wa Kata, Mitaa pamoja na Vijiji katika ukumbi wa Lewis Kalinjuna ulipo katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.

Akizungumza katika kikao Mwl. Kagunze amewapongeza watendaji kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo pamoja na kusimamia vizuri majukumu ya kila siku katika sehemu zao za kazi.

"Niwapongeze kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika maeneo yenu ya kazi pamoja na usimamizi mzuri katika kuhudumia wananchi " alisema Mwl. Kagunze

Aidha, Mwl. Kagunze amewaagiza watendaji kwenda kusimamia kwa ukaribu mambo mbalimbali yakiwemo kutenga siku moja ya wiki ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi, kufanya mikutano ya hadhara kila mwezi kwa kuwasomea mapato na matumizi katika maeneo yao ya kiutawala pamoja na kutoa taarifa ya utekelezaji wa vikao na mikutano iliyofanyika kila mwezi.

Pia amewataka kwenda kusimamia usafi na utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti na kulinda miti iliyokwisha pandwa, kusimamia mapato ya ndani, kudhibiti utoro kwa wanafunzi, kusimamia ulaji wa chakula mashuleni, kusimami miradi ya maendeleo, kutoa taarifa za fedha zinapoingia kwenye akaunti za kata kwa ajili ya miradi kwa wananchi pamoja na kuendelea kutoa taadhari ya mvua ya El Nino kwa wananchi.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga Ndg. Said Kitinga pia amewataka watendaji kufahamu na kufuatilia kila miradi inayoendelea kutekelezwa katika kata zao pamoja na utoaji wa taarifa uzingatie ngazi za kiutawala.

Pamoja na mambo mengi Mwl. Kagunze alipata wasaa wa kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali za watendaji ambazo waliziwasilisha na nyengine alizichukua kwa ajili ya kuzifanyia kazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga