• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MWL. KAGUNZE AAGIZA WAZAZI WARUDISHIWE FEDHA ZA MICHANGO WALIZOCHANGA KIMAKOSA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA SHINYANGA

Posted on: January 20th, 2024

MWL. KAGUNZE AAGIZA WAZAZI WARUDISHIWE FEDHA ZA MICHANGO WALIZOCHANGA KIMAKOSA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA SHINYANGA.


Na. Shinyanga Mc


Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze ameagiza shilingi 4,475,000/= zilizolipwa kimakosa na wazazi wa wanafunzi waliojiunga kidato cha kwanza Shule ya Sekondari ya Wasichana Shinyanga (Shinyanga Girls Secondary School) iliyopo kata ya Ndembezi zirudishwe kwa wazazi.


Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Januari 20, 2024 Mwl. Kagunze amesema maagizo hayo ameyatoa kwa uongozi wa shule na maafisa elimu wilaya na kata kwamba wasimamie kuhakikisha fedha zote zinarejeshwa kwa wazazi.


“Nimeagiza wazazi wote ambao kimakosa walijikuta wamechukua fomu ya kujiunga kidato cha tano kwa shule za bweni badala ya fomu ya kujiunga kidato cha kwanza warejeshewe fedha zao shilingi 80,000/= (mchanganuo ni shilingi 65,000/= kwa ajii ya uendeshaji wa shule, Tahadhari 5,000, nembo ya shule 5,000/= na kitambulisho cha shule 5, 000/= tayari fedha zao jumla shilingi 4,475,000/= zimetolewa kwenye akaunti ya shule na tayari wazazi wameanza kurudishiwa fedha zao”. amesema Mwl. Kagunze.


Aidha, Mwl. Kagunze amewata maafisa elimu wilaya na kata wasimamie kuhakikisha kwamba fedha zote zirejeshwe kwa wazazi na risiti zote azione na kama ni SMS za miamala ya simu azione ili kumaliza mkanganyiko huo uliotokea, ambapo baadhi ya wazazi wamekiri kupokea fedha walizochanga kwa wale waliopo ndani ya mkoa wa Shinyanga wamefika shuleni wakachukua na wameshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu kwa kuwajengea hii shule kwa gharama ya shilingi Bilioni 4.1 na elimu ni bure kwa wanafunzi wote.


Pamoja na mambo mengine Mwl. kagunze amewakaribisha wanafunzi wote wa kidato cha kwanza,ambapo mpaka kufikia leo jumla ya wanafunzi 100 wameripoti shuleni kati ya 143 ambao wamepangiwa kujiunga kitado cha kwanza katika shule ya sekondari ya wasichana.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • BOTI MPYA YA UOKOAJI ZIWA VICTORIA YAWASILI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 25, 2025
  • MANISPAA YA SHINYANGA YASAINI MIKATABA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA MIJI TANZANIA.

    June 25, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI

    June 24, 2025
  • SALAMU ZA SHUKRANI

    June 24, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga