• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MWENYEKITI WA WAZAZI CCM TAIFA ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI BUTENGWA MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: March 9th, 2024

MWENYEKITI WA WAZAZI CCM TAIFA ATEMBELEA SHULE YA SEKONDARI BUTENGWA MANISPAA YA SHINYANGA.


Na. Shinyanga Mc


Mwenyekiti wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Fadhil Maganya leo tarehe 9 March, 2024 amefanya ziara ya kukagua na kutembelea Shule ya Sekondari Butengwa iliyopo katika kata ya Ndembeze Manispaa ya Shinyanga.


Ndg. Maganya ametembelea na kukagua Shule mpya ya Sekondari ya Butengwa na kuonesha kuridhishwa na ujenzi wa shule hiyo na kuwasihi walimu kuendelea kuwasimami wanafunzi waendelee kuwa nadhifu na wenye maadili mema.


“Niwapongeze kwa ujenzi mzuri hakika mmeitendea haki pesa iliyotolewa na Serikali Binafsi nimeridhishwa na ujenzi na niwaombe muendelee kusimamia vizuri utekelezaji wa miradi inayoletwa kwa kuzingatia thamani ya pesa , lakini pia tuendelee kuwahimiza wanafunzi wetu waendelee kuwa nadhifu na wenye maadili mema kwani elimu bora inaambatana na maadili mema”. amesema Ndg. Maganya


Pamoja na mambo mengine Ndg. Maganya alipata wasaa wa kuongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Butengwa na kuwasihi wasome kwa bidii ili wawezi kufikia ndoto zao kwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan amekwisha waandalia mazingira bora ya kupata elimu iliyobora huku akiwasifia kwa unadhifu wao na kuwaomba kuendelea kuwa nadhifu kila siku.


Shule ya Butengwa ilitumiwa kiasi cha milioni 603,890,562 kutoka serikali kupitia Mpango wa Uboreshaji wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) kwa ajili ya kujenga Madarasa 8, jengo la utawala, Maktaba, jengo la Tehama, Matundu ya vyoo 8, maabara ya fizikia, maabara ya kemia na Bailojia , tanki la maji ardhini pamoja na kichomea taka ambapo mpaka sasa majengo hayo yameweza kujengwa.


Aidha, Shule ya Sekondari Butegwa ni Shule mpya ambayo imeanza mwaka huu kwa kupokea kidato cha kwanza 2024 na kupitia ujenzi wa Shule hii imesaidia kupunguza idadi kubwa ya wanafunzi katika shule ya Sekondari Ngokolo na Mazinge zilizokuwa na idadi kubwa ya Wanafunzi shukrani kwa Rais wetu kwa kuendelea kuwezesha sekta zote Manispaa ya shinyanga hususani sekta ya elimu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga