• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA SHINYANGA AFUNGUA CHOO CHA KISASA NGOKOLO, AOMBA USHIRIKIANO KWA WANANCHI KULIPA TOZO

Posted on: March 31st, 2023

MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Elias Ramadhan Masumbuko, amewataka wananchi walio ndani ya Manispaa kuhakikisha wanaiunga mkono Serikali katika zoezi ulipaji wa tozo mbalimbambali ambazo zinatozwa na Halmashauri ili kukuza ustawi wa maendeleo.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Elias R. Masumbuko akizungumza na Wananchi wa Ngokolo.

Hayo ameyasema leo Machi 31, 2023 wakati wa Ufunguzi wa Choo cha Kisasa kilichojengwa katika Soko la Ngokolo Mtumbani kwa gharama ya Fedha za Mapato ya ndani kutoka Halmashauri.

Mhe. Masumbuko amesema Manispaa ya Shinyanga imekuwa ikijipanga kila siku kuboresha miundombinu kwa wananchi ili kuboresha huduma ikiwemo ukusanyaji wa tozo.

“Sisi kama Manispaa tunaendelea kujipanga ili kuboresha huduma kwa wananchi, fedha zinazotumika kujenga miundombinu ndizo hizi zinazochangia kujenga na kuboresha miundombinu ambayo mnaiona hivi sasa ikiwemo ujenzi wa hiki Choo cha Kisasa.

“Kile ambacho tumekikusanya kwenu tunazidi kuomba ushirikiano wa kutosha ikiwemo kutuunga mkono katika tozo mbalimbali ambazo mnapaswa kutoa, ili kuisaidia Serikali kukuza ustawi wa maendeleo katika jamii. amesema Mh. Masumbuko.

Aidha, Mstahiki Meya ameongeza kwa kuwataka wananchi wakitunze Choo hicho kilichojengwa kwa miundombinu ya kisasa ili kiweze kudumu kwa muda mrefu, sambamba na kuzingatia usafi katika matumizi.

Kwa upande wake, Diwani wa Kata ya Ngokolo, Mhe. Victor Mkwizu, amesema Miradi yote inayoendelea ndani ya Manispaa ikwemo ujenzi wa Choo cha Kisasa Ngokolo inatokana na Utekelezaji Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mhe, Mkwizu ameeleza kikao alichowahi kuitisha na Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Ndg. Jomaary M. Satura juu ya ujenzi wa Choo cha Kisasa Ngokolo, kimeleta matokeo chanya na akiwaomba wananchi kukitumia vizuri.

Diwani wa Kata ya Ngokolo, Mhe. Victor Mkwizu akizungumza katika halfa ya ufunguzi wa Choo cha Kisasa Ngokolo Mtumbani.

Naye kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, John R. Tesha, amesema lengo la Manispaa kuendea kuboresha miundombinu ni kuboresha mazingira kwa wananchi ikiwemo ujenzi wa vyoo vya kisasa ambavyo vitajengwa katika masoko yote.

Mbali na ujenziwa Choo cha Kisasa Ngokolo, Tesha ameainisha kuwa Manispaa itaendelea kujenga miradi mbalimbali mingi ya maendeleo ikiwemo Stendi za Daladala, Masoko ili kuboresha mazingira ya huduma nzuri kwa wananchi.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, John R. Tesha akizungumza katika halfa ya ufunguzi wa Choo cha Kisasa Ngokolo Mtumbani.









Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga