• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MKURUGENZI KAGUNZE AAGIZA WAKANDARASI/MAFUNDI KULIPA FIDIA UHALIBIFU WA RASILIMALI ZA SERIKALI.

Posted on: December 17th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze ameagiza kuchukuliwa hatua kwa wakandarasi na Mafundi (local fundi) wate wanaotumia vibaya rasilimali na vifaa vya kujengea katika miradi yote inayotekelezwa ndani ya manispaa huku akiwataka kukamilisha miradi hiyo kwa wakati.


Mwl. Kagunze ametoa maagizo hayo leo Disemba 17,kwenye mwendelezo wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuwataka wakandarasi pamoja na mafundi ( Local Fundi) kulipa fidia za rasilimali za serikali pale wanapotumia kinyume na utaratibu.


“Mnachanyanga saruji pamoja na mchanga harafu hamtumii kwa wakati huo, matokeo yake mnaharibu hali ambayo mnaipelekea serikali hasara, sitamfumbia macho mkandarasi au fundi yoyote anayetumia hovyo rasilimali au vifaa vya ujenzi wa miradi ya serikali, Serikali inatoa fedha nyingi kujenga na kuboresha huduma za kijamii kwa wananchi ,hivyo nakuagiza Mhandisi wa halmashauri kuwachukulia hatua wakandarasi pamoja na mafundi kulipa fidia na kuwaandikia barua ya onyo ili tabia hizi zisijirudie katika manispaa yetu”. Amesema Mwl. Kagunze.


Katika hatua nyingine Mwl. Kagunze amempongeza Mganga Mfawidhi wa kituo cha afya Ihapa Dkt. Consolath Mpepera kwa hatua alizichukua za kuanza kupanda miti katika kituo hicho huku akimwagiza kuendelea kupanda miti elfu moja na kuitunza katika eneo lote linalozunguka kituo hicho.


Mwl. Kagunze amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi ya afya na elimu ambapo katembelea ujenzi wa nyumba ya walimu Butengwa Sekondari, Ujenzi wa mabweni manne shule ya sekondari Rajani kata ya Ibadakuli, Ujenzi wa vyumba vitatu shule ya msingi Ndala “B’’, ujenzi wa vyumba vitatu na vyoo shule ya msingi Nheregani, Ujenzi madarasa matatu, matundu ya vyoo matano na chumba kimoja cha kujistiri wanafunzi wa kike shule ya msingi twendepamoja pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Ihapa kata ya Old Shinyanga.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga