• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MILIONI 225,879,500 ZATOLEWA KWA VIKUNDI 19 VYA WANAWAKE, VIJANA, NA WATU WENYE ULEMAVU MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: April 2nd, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga katika kuhakikisha jamii inaondokana na umasikini imetoa mikopo ya asilimia kumi isiyo na riba, mikopo inayotolewa kupitia makusanyo ya ndani ya halmashauri kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.


Akikabidhi mikopo hii mgeni rasmi katika hafla iliyofanyika leo aprili 02, 2025 Mkuu wa wilaya ya Shinyanga wakili Julius Mtatiro amewasihi wanufaika hao kurejesha mikopo hii kwa wakati ili iweze kunufaisha vikundi vingine.


“Uchukuaji wa mikopo ni hiyari lakini urejeshaji wa mikopo ni lazima na kwa wakati, mkurugenzi wetu chini ya watendaji wake wamefanya kila kitu Kuhakikisha jamii na wakazi wa manispaa wanaondokana na umasikini ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali kuu, fedha hizi zitumike kama mlivyoandika kwenye maandiko yenu ya miradi, rejesheni kwa wakati, ili wadogo zenu, ndugu zenu, wanashinyanga nao waweze kupata mikopo hii.” Wakili Mtatiro.


Akitoa Elimu juu ya namna ya kupata mikopo ya asilimia kumi Afisa maendeleo ya jamii Manispaa ya Shinyanga Bi. Nyanjula Kiyenze amesema kigezo kikubwa cha kupata mkopo huo wa asilimia 10 ni kikundi cha watu kuanzia watano kwa vikundi vya wanawake na vijana huku watu wenye ulemavu anaruhusiwa kukopa mkopo huo hata mtu mmoja.


Kwa upande wake Msitahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko amesema mpaka sasa kwa mwaka fedha 2024/2025 mikopo hii imetolewa kwa awamu mbili ambapo awali ilitolewa jumla ya milioni 90,000,000 Kwa vikundi vitatu, huku kwa awamu ya pili jumla ya Milioni 225,879,500 zimetolewa kwa jumla ya vikundi 19 kutoka kata mbalimbali za Manispaa ya Shinyanga.


Penina Ezekiel, Razalo John na Isack Samwel ni baadha ya wanufaika wa mikopo hii wameishukuru serikali kuleta mikopo hii inayowasaidia kuondokana na mikopo kandamizi kama kausha damu sambamba na kuwaepusha kuwa ombaomba Kupunguza wimbi la vijana wasio na ajira huku wakisema mikopo hiyo watarejesha kwa wakati ili iweze kuwanufaisha vikundi vingine.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • RC MACHA AONGOZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI NGAZI YA MKOA MANISPAA YA SHINYANGA

    May 01, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga