• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MHE. MOHAMED MCHENGERWA AKABIDHI MAGARI YA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA SEKTA YA AFYA MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: November 14th, 2023

MHE. MOHAMED MCHENGERWA AKABIDHI MAGARI YA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA SEKTA YA AFYA MANISPAA YA SHINYANGA.


Na. Shinyanga Mc


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa leo tarehe 14 Novemba, 2023 amekabidhi Magari Manne ya usimamizi wa shughuli katika Sekta ya Afya ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa Waganga Wakuu wa wilaya na Mkoa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Shinyanga.


akizungumza katika zoezi hili la kukabidhi Magari haya Mhe. Mchengerwa amemtaka Mganga Mkuu wa Mkoa na Waganga Wakuu wa Halmashauri, kuyatumia kikamilifu katika kuwatembelea Watumishi wa Afya pamoja na kufanya nao vikao vya mara kwa mara, ili kuboresha utendaji kazi wa kuhudumia wananchi na kuokoa Afya zao, wakiwamo wajawazito na kupunguza vifo vya uzazi.


"Nakabidhi Magari haya Manne ya usimamizi katika Mkoa wa Shinyanga ambapo gari moja ni la Mganga Mkuu wa Mkoa, na Mengine Matatu ni ya Waganga Wakuu wa wilaya, hivyo yatumieni Magari haya kwenda kufanya vikao na watumishi na kukagua huduma za afya ili wananchi wapate huduma bora za matibabu." amesema Mhe. Mchengerwa.


Awali, Mhe Mchengerwa alipata wasaa wa kuongea na Watumishi wa Sekta ya Afya na kuwataka kuendelea kutoa huduma stahiki za matibabu kwa wananchi, pamoja na kuhudumia Wajawazito ipasavyo na siyo kutanguliza pesa mbele, bali wawapatie huduma kwanza ili kumuokoa yeye na mtoto wake.


Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amemshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu kwa kuendelea kuboresha huduma za afya Mkoani humu, kwa kutoa fedha nyingi na kujengwa Vituo vya Afya, Zahanati,Hospitali za Wilaya, Mkoa, kutoa Vifaa tiba, Madawa, na sasa ameleta Magari Manne ya usimamizi kwa Waganga Wakuu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga