• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MHE. SAMIZI AWATAKA WATENDAJI NGAZI ZOTE KUIWEKA AJENDA YA LISHE KUWA YA KUDUMU

Posted on: February 27th, 2023

Shinyanga MC

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Johari Samizi, Februari 24, 2023 ameongoza Kikao cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe kilichofanyika katika Ukumbi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya Shinyanga huku akiwataka Watendaji wa Kata, Mitaa na Vijiji kwenda kuiweka LISHE kuwa ni ajenda ya kudumu katika vikao na mikutano yao yote.

Amesema hayo ili kuhakikisha kuwa Wilaya ya Shinyanga inaondokana kabisa na matatizo yote yatokanayo na ukosefu wa LISHE likiwamo tatizo la UDUMAVU ni lazima sasa Watendaji waongeze juhudi katika kuelimisha umma juu ya madhara yatokano na kutozingatia kanuni za lishe na kwamba njia pekee oliuopo ni kuhakikisha wananchi wanapata elimu  ya kutosha kwa kushirikiana na wataalamu wa Lishe kutoka katika Halmashauri.

"Niwatake sasa Watendaji wote kwenda kutoa elimu ya kutosha kwa kushirikiana na wataalamu wa Lishe, mkatoe elimu hiyo katika kikao na mikutano yenu yote na kwamba suala la Lishe liwe ni ajenda ya kudumu kwenu," alisema Mhe. Johari.

Awali akimkaribisha kufungua kikao hicho, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Shinyanga Bi. Nice Munisi alisema kuwa wao kama Halmashauri ya Shinyanga pamoja na Halmashauri pacha ambayo ni Manispaa ya Shinyanga wanaendelea na juhudi za utekelezaji wa shughuli za Lishe kama ambavyo takwa la Serikali na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kinavyowaelekeza ili kwenda kuondoa kabisa tatizo kubwa la udumavu kwa watoto katika Halmashauri zote zilizopo Wilaya ya Shinyanga.

Kwa upande wao wataalamu kutoka Halmashauri ya Shinyanga na Manispaa walisema kuwa pamoja na kuendelea na utoaji wa elimu kwa umma lakini pia wameendelea na upimaji wa Chumvi ya Madini Joto, utapiamlo pamoja na vipimo vingine huku wakiwasisitiza wananchi kuepukana kabisa na imani ambazo zinawapeleka kwa waganga wa jadi ambako wamekuwa wakiaminishwa kuwa matatizo hayo ni ya kienyeji.

Akifunga kikao hicho, Mhe Johari aliwasisitiza na kuwakumbusha watendaji wote kwenda kusimamia suala la utoaji wa chakula mashuleni suala ambalo ni utekelezaji wa maahizo ya Serikali kuu, pia Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yahaya Nawanda alisisitiza pia.

Mwisho aliwataka kwenda kuitafuta na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 sambamba na maelekezo ya Serikali katika kutekeleza suala la Lishe ili kwenye kikao kijacho kila mtendaji atoe taatifa jinsi alivyotekeleza maagizo hayo.

Aidha alisema kuwa yeye Mhe. Johari kwa muda wake atachagua Shule yoyote na wakati wowote atakwenda kukagua utekelezaji wa Lishe kupitia Klabu za Lishe jambo ambalo alikwishalisema awali kuwa kila shule ihakikishe kuwa inayo Klabu ya Lishe.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga