• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MD KAGUNZE AFUNGUA MAFUNZO YA SENSA ELIMU MSINGI KWA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI MANISPAA YA SHINYANGA KWA MWAKA 2025

Posted on: April 3rd, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze leo aprili 03, 2025 amefungua mafunzo ya sensa ya Elimu Msingi kwa walimu wakuu kwa shule za msingi, maafisa Elimu Kata, Mafunzo yanayolenga kuwajengea uelewa wa namna ya ujazaji wa dodoso ya Idadi ya walimu katika shule husika, taarifa za uthibiti bora wa shule, miundombinu, vifaa muhimu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu, taarifa za fedha, Maambukizi ya VVU pamoja na mapango wa shule salama.


Akifungua mafunzo haya yaliyojumuisha walimu wakuu wa Shule za msingi za serikali na shule binafsi ,maafisa elimu kata, walimu watakwimu wa shule na maafisa elimu takwimu ngazi ya msingi manispaa ya shinyanga kwenye mafunzo yaliyofanyika Katika Ukumbi wa Mikutano wa Lewis Kalinjuna uliopo katika ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa na kuwataka walimu hao kujaza taarifa kwa usahihi, kwa wepesi ili serikali iweze kuweka mikakativya mamna ya kuongeza wigo wa ufundishaji wanafunzi katika mazingira rafiki na salama kulingana na mahitaji ya wanafunzi.


“Twendeni tukahuishe taarifa hizi kwa wepesi, usahihi na kwa ufasaha serikali ipate taarifa hizi na kuweka mipango mikakati kwa wepesi kwa sababu sisi hapa Manispaa ya Shinyanga tupo mjini hakuna chagamoto ya mtandao ni matumaini yangu ndani ya siku tatu hadi nne taarifa hizo zitakuwa zimekamilika”. Amesema Mwl.Kagunze


Katika hatua Nyingine Mwl. Kagunze amempongeza Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Lubaga Mwl. Stella L. Halimoja kwa kufanya vizuri Katika mitihani ya darasa la saba kwa Mwaka wa masomo 2024 ambapo shule hiyo imeshika nafasi ya kwanza kwa ngazi ya wilaya huku ikishika nafasi ya tatu kwa ngazi ya mkoa ambapo wanafunzi wamefaulu kwa daraja “A” na “B” ambapo jumla ya wanafunzi 60 walipata daraja “A” na wanafunzi watano pekee wakipata daraja “B” kwa Jumla ya ufaulu wa 100%


Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi Msingi Manispaa ya Shinyanga Mwl. Merry Maka amewasihi walimu hao kufanya kazi kwa kushirikiana ili kufikia kiwango Cha ufaulu wa asilimia 95% ikiwa ni maadhimio yao kwa Mwaka huu wa Elimu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • RC MACHA AONGOZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI NGAZI YA MKOA MANISPAA YA SHINYANGA

    May 01, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga