• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YATOA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHA YA JINSI YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI

Posted on: February 27th, 2023

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara jinsi ya kuweza kutumia mfumo wa TAUSI katika shughuli zao ili kuwapunguzia usumbufu wa kwenda Ofisi za biashara kupata huduma hiyo.

Akiwasilisha mada katika mafunzo hayo, Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Bi. Naely Nasomi alisema kuwa, Serikali imeanzisha mfumo mpya ambapo Mfanyabiashara sasa ataweza kujihudumia yeye mwenyewe kwa kuomba kupitia Link ya Tausi.tamisemi.go.tz bila kupata usumbufu wa kwenda kwa Afisa Biashara ambapo atapata Control Number itakayomuwezesha kulipia na kupata Leseni.

Katika mafunzo hayo wafanyabiashara walikubaliana kwa kauli moja kwenda kuutumia mfumo huo huku wakiahidi kuwasaidia na wengine ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria mafunzo hayo ambayo yalitolewa bure gharama yoyote.

"Sisi hatuna tatizo na Manispaa yetu, lakini tunaomba kupitia Halmashauri kuendelea kutoa elimu zaidi kwa wafanyabiashara kwa wingi wetu kwani mfumo huu ni mpya, na wengi hawaufahamu na hivyo ili kuepuka misuguano isiyokuwa na ulazima kati ya Serikali na sisi wafanyabiashara," alisikika mmoja wa wafanyabiashara akisema.

Akifunga mafunzo hayo Mwenyekiti wa muda aliyeteuliwa na wafanyabiashara hao ambaye pia ni Diwani Kata ya Ngokolo Mhe. Victor Nkwizu alisema kuwa, wafanyabiashara hawana tatizo na Serikali kwakuwa mrejesho utokanao na Kodi wanazolipa unaonekana katika miradi mikubwa ya maendeleo ambayo inatekelezwa katika Manispaa ya Shinyanga.

"Wakishirikishwa huwa hawana shida kabisa, kikuwa ni ushirikishwaji kwa kila kitu hasa mambo yanayohusu malipo kwa Serikali na kwamba linapotokea jambo jipya kama hivi na tukashirikishwa sisi hatuna neno tutatekeleza makubaliano haya boal shida," alisema Mhe. Victor

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia vikao vyake vya ndani iliadhimia kwa kauli moja kuwaita wafanyabiashara ili kuwapatia mafunzo hayo ya mfumo mpya wa TAUSI ili ikasaidie katika kuomba, kupata Control Number na hatimae mfanyabiashara akilipia ataipata Leseni yake kupitia mtandao na wala hakuna ulazima wa kufika ofisi za biashara kwa ajili ya jamno hilo.

Mfumo huu wa TAUSI unatajwa kuwa mwarubaini wa kukomesha rushwa, urasimu na hata upotezaji wa muda katika upatikanaji wa Leseni kwa wafanyabiashara jambo ambalo litaongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga