• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: September 25th, 2023

MANISPAA YA SHINYANGA YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO


Na. Shinyanga Mc


Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imepongezwa kwa utekelezaji mzuri wa miradi ya maendeleo iliyokamilika na inayoendelea kutekelezwa.


Pongezi hizo zimetolewa leo tarehe 25 Septemba, 2023 na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme alipokagua ujenzi wa jengo la dharula (EMD) katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga na kuweka Jiwe la Msingi, Upanuzi wa miundombinu katika Shule ya Sekondari Old Shinyanga na kuweka Jiwe la Msingi pamoja na Zahanati ya Seseko ambapo aliweka Jiwe la ufunguzi.


"Niwapongeze wananchi, Viongozi na Watumishi kwa ujumla kwa kutekeleza vizuri usimamizi wa miradi ya maendeleo hakika mmejua kuthamini thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali niwaombe miradi yote tuitunze vizuri ili tuendeleee kupokea miradi mingi zaidi " alisema Mhe. Mndeme


Pamoja na pongezi hizi lakini Mhe. Mndeme amewasisitizia wahudumu wa afya kutumia lugha nzuri wanapohudumia wagonjwa pamoja na kupunguza matumizi ya simu yasiyo ya lazima wanapohudumia wagonjwa.


Aidha, Mhe. Mndeme alipata wasaa wa kuongea na wananchi wa Seseko kata ya Mwamalili kwa kusikiliza kero zao ambapo waliwasilisha kero ikiwemo ukosefu wa umeme na utokaji wa maji kwa siku chache,


Changamoto hizi ziliweza kujibiwa na wataalamu husika na Mhe. Mndeme kuwataka Wataalamu hao mpaka ifikapo tarehe 30 Novemba, 2023 umeme uwe umeshafika katika kata ya Mwamalili na kwa upande wa maji idara ya Shuwasa imepewa mwezi mmoja na nusu ili tatizo la utokaji wa maji kwa siku chache uwe umeisha na badala yake maji yawe yanatoka kila siku.


Sanjali na hayo, Mhe Mndeme amewataka wananchi wa Seseko kutoa taarifa za ukatili pale zinapotokea na sio kukaa kimya, kuendelea kupanda miti na sio kuikata pamoja na kuendelea kuwapatia chakula wanafunzi wanapokuwa shuleni ili kuendelea kuongeza Kasi ya ufaulu.


Ziara hii ya Mhe. Mndeme ni mwendelezo wa ziara zake kwa lengo la kutembelea, kukagua na kufanya mikutano ya hadhara kwaajili ya kusikiliza kero za Wananchi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga