• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAPOKEA TUZO MBILI KWA UFAULU MZURI DARASA LA SABA NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 MKOA WA SHINYANGA.

Posted on: April 4th, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imeshinda tuzo mbili baada ya kufanya vizuri katika mitihani ya kitaifa kwa ngazi ya Mkoa ambapo kwa ufaulu wa jumla katika mtihani wa kidato cha nne (SCEE) jumla ya ufaulu wa 97.34% huku kwa mtihani wa kuhitimu darasa la saba (PSLE) imeshinda kwa jumla ya ufaulu wa 88.42% kwa mwaka wa masomo 2024.


Akikabidhi Tuzo hizi leo Aprili 04,2025 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha katika kikao kazi cha tathimini ya elimu kilichowakutanisha wadau wa elimu kutoka Halmashauri tatu, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga pamoja na Halmashauri ya wilaya ya Kishapu kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Shule ya Sekondari ya Wasichana Shinyanga iliyopo ndani ya Manispaa ya Shinyanga , Mhe. Macha ametumia fursa hiyo kuipongeza Manispaa ya Shinyanga kwa kufanya vizuri kwenye mitihani hiyo huku akitoa wito kwa walimu wote mkoani Shinyanga kuongeza mbinu za ufundishaji ikiwa ni pamoja na kuandaa mitihani ya mara kwa mara ili kuwasaidia wanafunzi kuwa na uzoefu wa kujibu mitihani na kuwasaidia kufikia ndoto zao.


“Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetekeleza majukumu yake kwa 100% swala la matokeo mazuri na ufaulu kwa mwanafunzi ni wetu sisi wadau wa Elimu, hususani walimu, inasikitisha sana Mtoto anasoma mazingira mazuri, bora na salama tena bila ada harafu anafeli hii kwa mkoa wa Shinyanga haikubaliki, Wito wangu kwa walimu wa shule zote za Msingi na sekondari twendeni tukasimamie ufaulu kwa wanafunzi, kitu pekee kwa walimu kujivunia ni kuona wanafunzi wametimiza ndoto zao kupitia uwekezaji huu wa serikali”. amesema Mhe. Macha


Katika hatua nyingine RC Macha amepiga marufuku kwa shule binafsi mkoa wa Shinyanga zinazowapima wanafunzi wao kupitia mitihani yao ya ndani na kuwafanya wanafunzi hao kurudia darasa ambapo amesema mtihani pekee unaowapima wanafunzi ni unaotolewa na Serikali kwa kuzingatia maksi zilizowekwa na Serikali.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • RC MACHA AONGOZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI NGAZI YA MKOA MANISPAA YA SHINYANGA

    May 01, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga