• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAPATA TUZO YA UTEKELEZAJI MZURI WA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: July 31st, 2023

Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) imeipongeza Halmashauri ya Manispaa Ya Shinyanga katika utekelezaji mzuri wa shughuli za usafi wa mazingira.


Akizungumza wakati wa kukabidhi tuzo Meneja wa Mradi wa usafi wa mazingira Ndg .Olivier Germain alisema kuwa Manispaa ya Shinyanga imekuwa na mchango mkubwa sana katika kufanikisha shughuli nzima za utekelezaji wa usafi na Mazingira mpaka Shirika la Maendeleo (SNV) wakatambua, wakathamini mchango na kuamua kutoa tuzo hii ambayo leo imekabidhiwa rasmi kwa Mkurugenzi wa Manispaa Mwl. Alexius Kagunze kwa niaba ya Manispaa kwa ujumla.


“Manispaa ya shinyanga hakika tunatambua na kuthamini mchango wenu katika kutekeleza vizuri mradi huu wa usafi wa mazingira hakika mnastahili kupewa tuzo “alisema Olivier


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa Mwl. Kagunze alisema amepokea kwa mikono miwili huku akiwashukuru sana SNV kwa tuzo hii na pia aliwapongeza kwa kuamua kuichagua Manispaa ya Shinyanga kuwa sehemu ya kufanya shughuli za utekelezaji wa usafi wa mazingira kwani wangeweza kufanyia Halmashauri nyingine yoyote lakini waliamua iwe hapa jambo ambalo Manispaa inalipokea kama ni heshima kubwa sana.


"Kwa niaba ya Mstahiki Meya Mhe. Elias Masumbuko, Baraza la Madiwani Menejimenti na Watumishi wote wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga tunapokea kwa mikono miwili Tuzo, tunawashukuru sana ninyi SNV kwa kutambua na kuthamini uwepo wetu na tunawapongeza sana kuchagua Manispaa kwetu kama sehemu ya utekelezaji wa shughuli za usafi wa Mazingira na tunawakaribisha sana wakati mwingine kwa jambo lolote Manispaa itawapatia ushirikiano wakati wote," alisema Mwl Kagunze


Ikimbukwe shirika la maendeleo la uholanzi (SNV) linashughulika na usafi wa mazingira ambapo kwa Tanzania shirika hili linaendesha shughuli zake katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga na Jiji la arusha, shughuli ambazo wameweza kuzifanya katika Manispaa ya Shinyanga kwa kipindi cha miaka mitano ni Ujenzi wa Vyoo vya kisasa katika stendi ya Wilaya na Mkoa , Ujenzi wa mtambo wa kuchakata tope kinyesi uliopo kizumbi pamoja ununuzi wa mtambo wa kunyonya tope kinyesi kutoka Africa Kusini na miradi mengine zaidi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga