• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAKABIDHI PIKIPIKI 8 KWA MAAFISA AFYA PAMOJA NA VYETI VYA PONGEZI KWA WATENDAJI WA KATA ZOTE 17

Posted on: February 11th, 2023

HALMASHAURI ya Manispaa ya Shihyanga Februari 10, 2023 imekabidhi Pikipiki 8 Maafisa Afya pamoja na Vyeti kwa Watendaji wa Kata zote 17 ikiwa ni sehemu ya kutambua jitihada zao katika utendaji kazi, jambo ambalo lilipelekea Manispaa kuibuka Mshindi wa Kwanza kwa Usafi Kitaifa.

Akizungumza wakati wa kukabidhi Pikipiki na vyeti hivyo, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mh. Elias R. Masumbuko alisema kuwa, kukabidhiwa kwa pikipiki hizo kutawawezesha kufanya kazi kwa tija zaidi ili kuendelea kuifanya Manispaa ya Shinyanga kuwa kinara wa Usafi Kitaifa.

"Baraza la Waheshimiwa Madiwani, Menejimenti na Watumishi wote wa Manispaa wametambua na kuthamini kazi zenu na ndiyo maana kwa kauli moja walikubaliana mpatiwe pikipiki hizi maafiisa Afya 8 na Vyeti kwa Watendaji wa Kata zote 17 ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wenu katika kuipatia ushindi wa Usafi Manispaa ya Shinyanga," alisema Mh. Masumbuko.

Awali akimkaribisha kukabidhi Pikipiki hizo Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Ndg. Jomaary M. Satura alisema kuwa, Maafisa Afya Mazingira na Watendaji wa Kata zote wamefanya kazi kubwa sana na kujituma jambo ambalo lilipelekea Ushindi wa Kitaifa kwa kuibuka namba moja kwenye Usafi.

"Hivyo basi, Manispaa ya Shinyanga itaendelea kuwatambua na kuwawezesha watumishi wake wote katika ili na wao waweze kuboresha utendaji kazi kuongeza tija katika shughuri zao za kila siku, lakini pia nitoe angalizo kwa watumishi wote kuacha kufanya kazi kwa mazoe jambo ambalo mara nyingi limekuwa likipelekea baadhi yenu kuanza kuharibu kazi zenu, badala yake kuweni wabunifu zaidi kila siku", Satura alisisitiza.

Kukabidhiwa kwa Pikipiki hizo ni muendelezo wa juhudi za Manispaa ya Shinyanga kutambua na kuthamini kazi za watumishi wake ikiwa ni moja kati ya mikakati yake itakayowapelekea watumishi kuendelea kuwa wabunifu, jambo ambalo lilipelekea Manispaa kupata Tuzo mbalimbali Kitaifa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga