• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA KUANZISHA KILIMO CHA VIAZI LISHE KWA SHULE ZOTE ZA MSINGI NA SEKONDARI.

Posted on: December 13th, 2024

Wajumbe wa Kamati ya lishe Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga leo Disemba 13, 2024 wamefanya kikao kazi kuelekea bajeti mpya 2025/2026 ambapo wajumbe hao wameafiki kuingiza mpango wa kilimo cha viazi lishe kwa shule zote za msingi na sekondari ili kujenga afya za wanafunzi.


Kikao hiki kimefanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Lewis Kalinjuna uliopo halmashauri ya manispaa ya shinyanga ambapo wamesema ili kuondokana na udumavu , ukondefu, utapiamlo pamoja na viliba tumbo ipo haja ya kuanzisha bustani za viazi lishe na mbogamboga kwa shule zote Manispaa ya Shinyanga.


Ndg. Peres Kamugisha Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Manispaa ambae amemuwakilisha Mkurugenzi wa Manispaa Mwl. Alexius Kagunze amesema kuwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano wanasimamiwa sana juu ya lishe bora , lakini wakiwa zaidi ya miaka mitano wanakuwa wanasahaulika haswa kipindi ambacho wanafikia umri wa kuanza darasa la awali, ipo haja basi kwa bajeti hii ya 2025/2026 kuweka bajeti ya kilimo cha bustani ya viazi lishe, mbogamboga na matunda kwenye shule zetu ili kuondokana na utapiamlo,viliba tumbo, ukondefu kwa watoto haswa waliopo shuleni.


Kwa upande wake Ndg. Pius Sayayi Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali watu Manispaa ya Shinyanga amesema asilimia kubwa shule zote zina maeneo ya kulima bustani za viazi lishe na mbogamboga ,hivyo ni vyema kuanzisha kilimo hicho ambacho kitasimamiwa na wataalamu wa kilimo (maafisa kilimo kata) ili wanafunzi wote wapate lishe wawapo shuleni .


Awali akizungumza kwenye kikao hichi Afisa lishe Manispaa ya Shinyanga Ndg. Amani Mwakipesile amesema Kitengo cha Lishe Manispaa ya Shinyanga kimekuwa na utaratibu wa kufanya vikao hivi kuelekea Bajeti mpya ili kuona utendaji kazi na utekelezaji wa majukumu yao kwa lengo la kuzuia magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanayosababishwa na kutozingatia mlo kamili pamoja na kutozingatia makundi sita ya chakula.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga