• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA SHINYANGA YAIBUKA MSHINDI KITAIFA WA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: November 23rd, 2022

Na George Mganga, Shinyanga Manispaa

HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga imetunukiwa Cheti cha Ushindi wa Kwanza katika Mashindano ya Taifa ya Afya na Usafi wa Mazingira, katika kundi la Halmashauri  za Manispaa Tanzania Bara, kwa kufikisha asilimia 87.

Tuzo hizo zilizoandaliwa na Wizara ya Afya, zilitolewa Jumamosi ya Novemba 19, 2022 jijini Dodoma kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekalaghe.

Cheti cha Ushindi kilichotolewa na Wizara ya Afya kwa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.

Katika ushindi huo, Manispaa ya Shinyanga ilizawadia kitita cha shilingi za kitanzania, milioni 15 (15,000,000) huku ikipatiwa na Kombe la Ushindi.

Baada ya kutangazwa kuwa mshindi, Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Dkt. Jomaary Mrisho Satura, amesema ushindi huo umetokana na jitihada kubwa ambazo watumishi wenzake wamekuwa wakizifanya huku akitoa pongezi kwao.

“Sina la kusema, kwa rehema hizi zisizohesabika za Mwenyezi Mungu. Mungu ametuwezesha kuwa wa kwanza kwa tuzo zote za mwaka huu kwa ngazi ya Manispaa.

“Matokeo haya ni kielelezo cha jitihada kubwa ya kazi kubwa na nzuri ambazo mmekuwa mkizifanya. Narejesha pongezi na shukrani nyingi kwenu.

"Nimekuwa nikiwaeleza, na hapa naomba kusisitiza kuwa hakuna aliyezaliwa kuwa wa mwisho katika maisha, Mungu anabariki jitihada na maandiko yanasema hivyo. Nawapenda na kuwathamini sana, ninyi ni kila kitu kwenye utendaji wangu,” amesema Satura.

Kombe la Ushindi lilikokabidhiwa na Wizara ya Afya kwa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.

Mbali na kuwa mshindi wa kwanza wa Afya na Usafi wa Mazingira, Manispaa ya Shinyanga pia ilitangazwa kuwa mshindi wa kwanza wa Ukusaji wa Mapato kwa ngazi za Halmashauri katika mwaka wa Fedha uliopita.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga