• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

LAAC YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: April 27th, 2024

LAAC YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA SHINYANGA.


Na. Jesca Kipingu SHYMC


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.


Pongezi hizo zimetolewa na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya LAAC, Mhe. Staslaus Mabula (MB) leo tarehe 27 Marchi, 2024 wakati akikagua ujenzi wa Soko kuu la Shinyanga na shule ya sekondari ya wasichana Shinyanga pamoja na Miundombinu mbalimbali inayoendelea kukamilishwa katika shule hii.


“Niwapongeze kwa usimamizi mzuri wa miradi hii hakika shule inamajengo mazuri na yenye kuendana na thamani ya fedha iliyotolewa na serikali , mafundi wazuri wenye utendaji kazi mzuri pamoja na ujenzi mzuri wa mabanda ya soko ambao mnatumia kujenga kwa kupitia mapato ya ndani na kusaidi ujenzi huu kuleta tija nzuri kwa wananchi kwa ujumla.” amesema Mhe. Mabula


Pamoja na mambo mengine kamati ya LAAC imeshauri Halmashauri zengine zije kujifunza namna bora ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye kuleta tija na inayozingatia thamani ya fedha zinazotolewa na serikali.


Aidha, Kamati imetoa maelekezo kwa ajili ya kuboresha sehemu mbalimbali katika miradi hii, huku ikitaka majengo yote yaendelee kutunzwa vizuri na kwa uzalendo kwa ajili ya vizazi vijavyo na kuhakikisha wanafunzi wote katika shule ya wasichana Shinyanga wanamaliza wote na kwa ufaulu mzuri ili kuendeleza jitiada nzuri za Kumuunga mkono Rais Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwekeza vizuri sekta ya elimu.


Kwa upande wake Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elius Masumbuko kwa niaba ya baraza la madiwani, Menejiment na Watumishi wa Manispaa ameishukuru kamati kwa ukaguzi mzuri wa miradi na kuhaidi kwenda kutekeleza maagizo yote yaliyotolewa na Kamati.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga