• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KU YA WILAYA NA KAMATI YA MAAFA YA MANISPAA YAWATEMBELEA WALIOKUBWA NA MAAFA

Posted on: October 18th, 2023

KU YA WILAYA NA KAMATI YA MAAFA YA MANISPAA YA SHINYANGA YAWATEMBELEA WALIOKUBWA NA MAAFA.

Na. Shinyanga Mc

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Shinyanga ikiongozwa na katibu Tawala wa wilaya Ndg. Saidi Kitinga kwa niaba ya Mkuu wa wilaya akiambatana na Kamati ya Maafa ya Manispaa ya Shinyanga leo tarehe 18 Oktoba, 2023 imetembelea kaya zilizokubwa na maafa kufuatia mvua kubwa iliyonyesha jana.

Akiongea katika ziara hiyo Ndg. Revocatus Lutunda Mratibu wa Kamati ya Maafa ambae ni MKuu Divisheni ya kilimo na Uvuvi Manispaa ameeleza kwamba mvua iliyonyesha jana imeleta madhara kwa baadhi ya kaya na kuwaomba wananachi waendelea kuchukua tahadhari ya kutoka kwenye makazi ambayo yapo mabondeni pamoja na kutoka kwenye nyumba ambazo ni hatarishi katika kipindi hiki cha mvua.

" Niwaombe wananchi wote kwa ujumla endeleeni kuchukua taadhari ya mvua zinazoendelea kunyesha kwa kutoka kwenye makazi yaliopo mabondeni pamoja na makazi ambayo sio rafiki katika kipindi hiki cha mvua"

Aidha, Ndg. Lutunda amesisitiza kwa kuwataka watendaji wa kata, vijiji na Mitaa kuendelea kubaini maeneo yote hatarishi lakini pia kamati za maafa za kata kufanya kazi bila kuchoka ili kuepukana na madhara yoyote ambayo yatazidi kutokea pamoja na kuwaomba wananchi kulima mazoa yanaweza kuimili mvua nyingi zinazoendelea kunyesha.

Kwa upande wake Katika Tawala wa Wilaya Ndg. Kitinga amewaomba wanachi katika kipindi hichi cha mvua wachemshe maji ya kunywa ili kuepuka magonjwa ya mlipuko kwani mvua zinaponyesha zinachafua vyazo vya maji na miundombinu ya maji, kuboresha vyoo , kuhifadhi vyakula pamoja na kuwashauri wajenge nyumba zenye msingi imara.

Awali kamati hizi ziliweza kutembelea kata ya Mwawaza katika kijiji cha Mwawaza pamoja na Kata ya Mwamalili katika kijiji cha Mwamalili ambapo baadhi ya nyumba ziliezuliwa na mvua na kusababisha madhara kwa baadhi ya kaya kuumia ambapo walipelekwa hospital kwa ajili ya matibabu na wanaendelea vizuri.

Angalizo kwa Wananchi wote kwa ujumla kwa kutoka katika maeneo ya mabondeni pamoja na kutengeneza vizuri mifereji inayopitisha maji kwa usahihi ili kuepuka na mafuriko katika makazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga