• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

JUMUIKO LA WATUMISHI WA MANISPAA LAFANA

Posted on: August 7th, 2021

Jumuiko la watumishi wa Manispaa ya Shinyanga limefanyika Leo tarehe 07/08/2021 katika viwanja vya Mazingira Centre ambapo mambo kadhaa yameainishwa likiwemo suala la aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Kuwaaga Watumishi aliowaongoza kwa muda wa miaka mitano

Aidha Mkurugenzi aliyepita alikabidhiwa hati ya Pongezi kwa kuwa kiongozi mwenye maono na muibuaji wa miradi mbalimbali yenye tija katika Manispaa ya Shinyanga.

Idara mbalimbali zilimpongeza na kumpatia zawadi kemkem ikiwa ni ishara ya Upendo kwa Kiongozi wao ambae aligusa wengi kwa namna tofauti.

Mkurugenzi alionekana kuwa na furaha wakati wote alipokuwa akiwaaga Watumishi na Kuwaasa kuendelea kuchapa kazi,pia aliahidi kutoa ushirikiano wakati wote atakapohitajika kufanya hivyo.

Aidha Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, mh. Nkulila alipata fursa ya kumpongeza Mkurugenzi aliepita kwani anaifahamu vema kazi yake njema kwa muda wote toka alipoingia Manispaa ya Shinyanga mwaka 2016.

Mkurugenzi mpya wa Manispaa ya Shinyanga Ndg. Jomaari Mrisho Satura Ameahidi kuendeleza Mazuri aliyoyaacha Mwenzake ili kufikia lengo la kuifanya Manispaa ya Shinyanga kuwa Jiji

Mgeni Rasmi Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, Amewataka watumishi kushikamana na kufanya kazi kwa Pamoja na kwa ushirikiano.  

Zawadi zilitolewa kwa Washindi walioshinda mashindano mbalimbali Kitaifa, Kimkoa na Kihalmashauri.


MATUKIO KATIKA PICHA

Kwaya ya Waalimu Ikitumbuiza siku ya Jumuiko

Viongozi wakiwa wamewasili tayari kwa Ufunguzi wa Jumuiko la Watumishi    

Watumishi na Wageni mbalimbali wakiwa wamewasili katika viwanja vya Mazingira Center

Ndugu Geoffrey Mwangulumbi akitoa neno la Shukrani kwa Watumishi na Viongozi Wakati wa Jumuiko la Watumishi 

Mwenyekiti wa Baraza la Watoto kutoka shule ya Sekondari Uhuru Tanzania akihutubia siku ya Jumuiko la Watumishi

Mvumbuzi wa Mashine ya Kukunia Nazi inayotumia Umeme ambayo ilishinda Kitaifa katika 

Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi na Teknolojia (MAKISAT) akielezea uvumbuzi wake

Mshindi wa Miruko ya Juu (Long Jump) Kitaifa katika Mashindano ya UMISETA Akielezea namna alivyoshinda

na mahitaji yatakayomwezesha kutimiza ndoto zake

Tuzo zikitolewa kwa Washindi katika Mashindano mbalimbali

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga