• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

ICS YATOA VYEREHANI KWA MABINTI WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: May 15th, 2024

ICS YATOA VYEREHANI KWA MABINTI WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU MANISPAA YA SHINYANGA.


Na. Shinyanga Mc


Shirika linalotekeleza afua za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto kwa kuwajengea uwezo wazazi, walezi, mabinti , watoto na jamii kwa ujumla (ICS) leo tarehe 15, Mei 2024 katika kusherekea siku ya familia duniani imetoa vyereheni 7 kwa wasichana wanaotoka katika mazingira magumu, katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Lewis Kalinjuna katika ofisi za Manispaa ya Shinyanga.


Akizungumza katika hafla hii Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko ambae ndio mgeni rasmi wa hafla hii ameishukuru Taasisi ya ICS kwa kuweza kuendelea kutokomeza ukatili dhidi ya Wanawake na watoto huku akiwasihi mabinti waliopatiwa vyerehani kwa ajili ya kujiendeleza na fani walioipata kwenda kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza ndoto zao.


“Kipekee niwapongeze taasisi ya ICS kwa kuendelea kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto na niwasihi mabinti wote mliopata bahati hii ya kuweza kupata ujuzi wa ushonaji nendeni mkafanye kazi kwa bidii na uaminifu ili muweze kutimiza ndoto zenu.” amesema Mhe. Masumbuko


Awali, Meneja wa shirika la ICS Bi. Sabrina Majikata ameeleza kwamba kwa kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga waliweza kuwapata ma binti wanaotoka mazingira magumu na kuweza kuwadhamini kwa kuwapatia mafunzo ya fani ya ushonaji cherehani katika chuo cha veta pamoja na kuwapatia vifaa vya ushonaji na mahitaji mbalimbali yaliyohitaji katika fani ya ushonaji.


“ Tunaishukuru ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa kwa msaada wake kupitia maafisa maendeleo ya jamii kwa kuweza kuwapata mabinti hawa na sasa wameweza kupata mafunzo ya fani ya ushonaji na tumeweza kuwagharamia mahitaji yote muhimu yaliyokuwa yanahitajika katika matumizi ya ushanaji ambayo yameweza kugharimu kiasi cha Tsh. 6,400,000/= amesema Bi. Majikata

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga