• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

DC SAMIZI AKABIDHI OFISI KWA DC MTATIRO

Posted on: March 12th, 2024

DC SAMIZI AKABIDHI OFISI KWA DC MTATIRO


Na .Shinyanga Mc


Mkuu wa Wilaya ya Misungwi ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi leo tarehe 12 March, 2024 amemkabidhi Ofisi Mkuu wa wilaya mpya wa Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro mara baada ya uhamisho uliofanywa na Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 9 March, 2024 ambapo awali Mhe. Mtatiro alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru.


Akizungumza katika makabidhiano haya Mhe. samizi amemshuru sana Rais kwa kuendelea kumuamini na kwenda kuwatumikia wananchi wa Misungwi huku akiishukuru kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wakurugenzi kwa ushirikiano mzuri alioupata katika kutimiza majukumu mbalimbali na kumueleza Mhe. Mtatiro kuwa anamuachia Wilaya ya Shinyanga ikiwa na amani na utulivyo hivyo asiwe na wasiwasi.


“Kipekee namshuru sana Rais wetu Dkt. Samia kwa kuendelea kuniamini na kunipeleka kwenda kuwatumika wananchi wa Misungwi, niwashuru pia kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wakurugenzi kwa ushirikiano mzuri mlionipa Mhe. Mtatiro nakuachia wilaya ya Shinyanga ikiwa na amani na utulivu na usihofu utapata ushirikiano mkubwa zaidi katika majukumu mbalimbali.”amesem Mhe. Samizi


Kwa upande wake Mhe. Mtatiro amemshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu kwa kuendelea kumuamini na kumleta kuja kuwahudumia wananchi wa Wilaya ya shinyanga na kuwaomba kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wakurugenzi kumpa ushirikiano katika majukumu mbalimbali ili waweze kuwahudumia vizuri wananchi wa Shinyanga.


“Imempendeza Mhe. Rais kwa kibali cha Mwenyezi Mungu kunituma kuja kuendeleza gurudumu la maendeleo hapa shinyanga lakini pia niwashukuru kwa mapokezi mazuri mlionionesha nimefurahi namna mnavyoendelea kufanya mjukumu yenu ya kila siku kikubwa naomba ushirikiano mzuri ili tuweze kuwahudumia wananchi wetu wa shinyanga.”amesema Mhe. Mtati

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga