• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

CHANJO YA RUZUKU KUONGEZA TIJA ZAO LA MIFUGO MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: September 2nd, 2025

Katika kuhakikisha afya bora ya mifugo na kuongeza thamani ya mazao ya mifugo, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo ya homa ya mapafu kwa ng’ombe na ugonjwa wa Sotoka kwa mbuzi na kondoo Chanjo itakayotolewa itakayotolewa kwa siku 10 ndani ya Halmashaurii


Wakizungumzia juu ya Ujio wa Chanjo hiyo ya Ruzuku Wakazi wa Manispaa ya Shinyanga wameishukuru serikali kwa kuwaletea Chanjo hiyo  Inayolenga kuboresha Afya za Mifugo yao na kuongeza tija Katika zao la Mifugo Hali inayowawezesha kujipatia kipato kutokana na ushindani wa Mifugo zao la Mifugo.


Ndg.Jumapili Robert ni Afisa Mifugo na Uvuvi Manispaa ya Shinyanga amesema bei halisia ya Chanjo hiyo ni Tsh 1000 kwa kila Ng'ombe ambapo kutokana na mpango wa Ruzuku Mfugaji atachangia Tsh. 500 na 300 kwa Mbuzi badala ya Tsh 600 kama bei halisia ya Chanjo kwa Mbuzi.


Mkuu wa Idara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Manispaa ya Shinyanga Ndg. Revocatus Lutunda akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwal. Alexius Kagunze Mwitikiowa wafugaji ni Mzuri wafugaji


Naye Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Bi. Neema Rwegoshooa akizingua rasmi Chanjo hiyo amesema serikali kwa kutambua umuhimu wa zao la Mifugo ileteta chango hiyo ili kuwaepusha wafugaji na magonjwa yanayozuilika, huku akiwasihi wafugaji wote ndani ya Manispaa ya Shinyanga kujitokeza kufikisha Mifugo yao Katika vituo vya uchanjaji ili kuwakinga na magonjwa nyemelezi kwa Mustakabari wa Halmashauri na taifa kwa Ujumla.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • CHANJO YA RUZUKU KUONGEZA TIJA ZAO LA MIFUGO MANISPAA YA SHINYANGA.

    September 02, 2025
  • “NENDENI MKAIWAKILISHE VYEMA MANISPAA YA SHINYANGA MASHINDANO YA SHIMISEMITA”. MWL. KAGUNZE

    August 15, 2025
  • Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi

    August 08, 2025
  • Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi

    August 08, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga