• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

BARAZA LA WAZEE MANISPAA YA SHINYANGA LAWAPONGEZA MSTAHIKI MEYA NA MKURUGENZI WA MANISPAA

Posted on: April 28th, 2023

BARAZA LA WAZEE WA MANISPAA YA SHINYANGA LAWAPONGEZA MSTAHIKI MEYA NA MKURUGENZI WA MANISPAA

Na. Shinyanga MC.

Baraza la Wazee wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa kauli moja limewapongeza Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko kwa niaba ya Waheshimiwa Madiwani wote na Ndg. Jomaary Satura kwa niaba ya watumishi wote wa Manispaa kwa utendaji kazi wao bora katika nyanja mbalimbali ikiwamo kuongeza utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Akisoma baadhi ya mafanikio kwa uongozi huo ni pamoja na kupandisha ukusanyaji wa mapato mara mbili zaidi ya awali, kuimarisha nidhamu kwa watumishi na katika matumizi ya fedha za Serikali, uboreshaji wa miundombinu ya ufanyaji biashara na uwezeshaji wananchi kiuchumi  elimu, afya pamoja na kuboresha mazingira na upendeshaji wa mji wa Shinyanga kwa ujumla wake.

Hayo yamesemwa leo terehe 28 Aprili, 2023 na Katibu wa Baraza la Wazee Ndg. Laurent Kashindye wakati wa ikisoma Risala ya Wazee kwa wajumbe wa baraza na uongozi wa Manispaa wakati wa mkutano huo ambao pamoja na wajumbe wake wa Manispaa lakini pia alikuwepo Mwenyekiti wa Wazee Mkoa wa Shinyanga mzee Faustine Sengerema.

Akifungua Mkutano huo na kutoa salamu za wazee, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Manispaa  mzee Stephano Tano alisema kuwa Baraza la Wazee linaridhishwa na kufurahishwa sana na mwenendo wa utumishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Ndg. Jomaary Satura na wasaidizi wake wote kwa namna ambavyo wanaiheshimisha  Manispaa kitaifa, katika ubunifu wake na utekelezaji wa mipango yao kisasa zaidi, na Mstahiki Meya Mhe. Elias Masumbuko na Waheshimiwa Madiwani kwa usimamizi ulio bora kabisa kwa Menejimenti hata sasa wameifanya Manispaa kuwa ya kuigwa na Halmashauri nyingine.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga mzee Faustine Sengerema alisema kuwa, kuzinduliwa rasmi kwa Baraza hilo kunakwenda kuimarisha na kutambua thamani ya wazee kwa Manispaa kwakuwa sasa wataanza kushirikishwa rasmi kayika ngazi mbalimbali za maamuzi na vikao rasmi kama vile Baraza la Madiwani, Kamati za Maendeleo za Kata na vikao rasmi vya kila mwaka ambavyo vimetamkwa katika muongozo wa uanzishwaji wa mabaraza ya wazee.

Akitoa salamu kwa niaba ya Manispaa ndg. Satura alisema kuwa katika utekelezaji wake wa shughuli za kila siku, Manispaa inaheshimu sana, inatambua na kuthamini michango na uwepo wa wazee katika Manispaa huku akiwaomba ushirikiano zaidi na kwamba milango ipo wazi Manispaa na wanakaribishwa wakati wowote.

Aidha Mstahiki Meya Mhe. Masumbuko aliwaeleza wazee kuwa yeye na Baraza zima la Manispaa wanapokea ushauri wote uliotolewa, wataufanyia kazi na kwamba waheshimiwa madiwani wanawategemea sana wqzee katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.


MATUKIO KATIKA PICHA


Picha ikionesha baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wazee Manispaa ya Shinyanga wakifuatilia kikao


Mshtahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko akielezea jambo wakati wa kikao


Picha ikionesha baadhi ya wajumbe wakiwapongeza viongozi wa Manispaa akiwamo Mkurugenzi wa Manispaa ndg. Jomaary Satura mwenye shati nyeupe.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga