- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
SALAMU ZA PONGEZI
Tunamshukuru kwa dhati Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea Kumuanini Mhe. Mboni Mhita kwa kumteua kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.
Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga tunakupongeza na tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu. Tuna imani kubwa na uongozi wako na tunaamini kuwa, chini ya usimamizi wako mahiri, Mkoa wa Shinyanga utaendelea kusonga mbele na kufikia maendeleo makubwa ya kijamii na kiuchumi. KARIBU MKOA WA SHINYANGA, KARIBU SANA MANISPAA YA SHINYANGA.
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.