- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Ndg. Said kitinga ameongoza dua Maalumu ya Kuliombea Taifa na viongozi wake ikiwa ni kuelekea katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 22 Aprili, 2024 katika ukumbi wa Lewis Kalinjuna Manispaa ya Shinyanga
Kauli Mbiu
“Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tumeshikamana na Tumeimarika kwa Maendeleo ya Taifa Letu .”
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.