- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
Mkurugenzi wa Manispaa ya shinyanga Mwl. Alexius Kagunze akiongea na watumishi ajira mpya wa kada mbalimbali ikiwemo kada za walimu, Watendaji wa kata pamoja na kada ya afya walioajira mwezi Januari mpaka Juni 2025 leo 14 Julai 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Shinyanga katika mafunzo ya awali (MUKI)
Ambapo Mwl. Kagunze amewataka watumishi hao kwenda kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya kiutumishi wa umma na kufanya kazi kwa bidii ili kuendelea kuleta maendeleo mazuri katika manispaa ya shinyanga
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.