- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi leo tarehe 8 Agosti, 2025 katika kijiji cha Seseko Wilaya ya Kishapu
Mwenge wa Uhuru 2025 katika Manispaa ya shinyanga Umeweka Jiwe la Msingi Miradi (3), Umekagua Miradi (2), Umezidua Miradi (2) na kufungua Miradi (2) .
Mwenge wa Uhuru ulivyokuwa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga tarehe 7 Agosti, 2025 ulikimbia umbali wa kilometa 116.5 na dakika 1770.
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.