• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Shinyanga Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Core values
    • Strategies
  • Administration
    • Administration Boundary
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human resource
      • Secondary Education
      • Primary School
      • Finance
      • Works
      • Agriculture and Cooperative
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Hearth
      • Cleaning and Environment
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • Information, Communication, Technology and Public Relations
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Election
      • Procurement Management
      • Beekeeping and Forest
  • Investment Opportunities
    • Industrialization
    • Farming Opportunity
    • Livestock Keeping
    • Fish breeding
    • Education Opportunity
    • Health Opportunity
  • Our Service
    • Health services
    • Education services
    • Water Services
    • Agriculture Services
    • Livestock Services
    • Fish breeding
    • Huduma za Watumishi
    • Loans Services
    • Service to rent business rooms
    • Sewage Sanitation Services
    • Business Services
      • Business License
      • Business education
      • Industrial auditing
      • Market Managent
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Councilors
    • List of councilors
    • Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Economics, Health and Education Committee
      • Infrastructure Committee
      • Control Aids Committee
      • Ethics Committee
    • Committees Timetable
  • Projects
    • Approved projects
    • On Progress Projects
    • Complete Projects
  • Publications
    • Municipal Bylaws
    • Customer service agreement
    • Strategic plan
    • Reports
    • Application Forms
    • Guidelines
    • Newsletter
  • Media Center
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • Video
    • Training

MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI WAZINDULIWA RASMI MKOA WA SHINYANGA

Posted on: February 20th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema amezindua Mfumo wa Anwani za Makazi mkoa wa Shinyanga kwa kuweka Vibao vya Maelekezo ya Mtaa wa Barabara ya Uhuru (Uhuru Road) na Mtaa wa Market pamoja na Namba za Majengo ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Manispaa ya Shinyanga huku akisisitiza kuwa zoezi hilo linatakiwa likamilike ifikapo mwezi Aprili 2022 katika mitaa yote mkoani Shinyanga.

Uzinduzi wa Mfumo wa Anwani za Makazi unaohusisha uwekaji mabango (vibao) ya maelezo ya mtaa, uwekaji namba kwenye nyumba na taarifa za ndani ya nyumba umefanyika  Ijumaa Februari 18,2022 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ngazi ya Mkoa na Halmashauri zote sita za mkoa wa Shinyanga likishuhudiwa na wananchi Mjini Shinyanga.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe. Mjema amesema uzinduzi wa Mtaa wa Sokoni katika Manispaa ya Shinyanga unawakilisha mitaa yote katika mkoa wa Shinyanga akibainisha kuwa mfumo wa Anuani za Makazi utasaidia kuwatambua wananchi hivyo kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali katika jamii.

“Zoezi hili la kutambua makazi linatakiwa likamilike hadi ifikapo mwezi Aprili mwaka huu. Anuani za Makazi utasaidia kuwahudumia wananchi kwa ufanisi. Mwaka huu zoezi la Sensa litafanyika kikamilifu kwani itakuwa ni Sensa ya Watu na Makazi. Hii itakuwa tofauti na miaka ya nyuma kidogo ambapo tumekuwa na Sensa ya watu pekee bila makazi yao. Anuani za Makazi zitarahisisha zoezi hili kwani Sensa itahusisha kujua idadi ya wakazi, nyumba zao na kutambua mitaa yao”,amesema Mjema.



Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Ramadhan Masumbuko amewataka wananchi kutunza alama hizo za utambuzi wa makazi kwani zitasaidia kurahisisha kutambua mitaa na nyumba za wananchi.

 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema (katikati aliyevaa kilemba) baada ya kuzindua rasmi Mfumo wa Anwani za Makazi mkoa wa Shinyanga kwa kuweka Vibao vya Maelekezo ya Mtaa wa Market na Barabara ya Uhuru Road katika Manispaa ya Shinyanga. 

 

 

Muonekano wa Maandishi ya upande wa pili wa Vibao vya Maelekezo ya Mtaa wa Market na Uhuru Road katika Manispaa ya Shinyanga.

 

 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akizindua rasmi Mfumo wa Anwani za Makazi mkoa wa Shinyanga  Ijumaa Februari 18,2022. 

 

 

Wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akizindua rasmi Mfumo wa Anwani za Makazi mkoa wa Shinyanga  Ijumaa Februari 18,2022. 

 

 

 

Kaimu Meneja TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Ibrahim Kiyungu akizungumza baada ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema kuzindua Namba 28 ya Jengo la TANESCO wakati akizindua rasmi Mfumo wa Anwani za Makazi mkoa wa Shinyanga  Ijumaa Februari 18,2022. 

 

 

Namba 28 ya Jengo la TANESCO 

 

 

Kaimu Meneja wa TRA Mkoa wa Shinyanga Pendolake Msangi akizungumza baada ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema kuzindua Namba 32 ya Jengo la TANESCO wakati akizindua rasmi Mfumo wa Anwani za Makazi mkoa wa Shinyanga Ijumaa Februari 18,2022. 

 

 

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Ramadhan Masumbuko akizungumza baada ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema kuzindua rasmi Mfumo wa Anwani za Makazi mkoa wa Shinyanga  Ijumaa Februari 18,2022. 

  

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • View

Latest News

  • RC MHITA AKABIDHIWA RASMI OFISI YA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA

    July 01, 2025
  • BOTI MPYA YA UOKOAJI ZIWA VICTORIA YAWASILI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 25, 2025
  • MANISPAA YA SHINYANGA YASAINI MIKATABA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA MIJI TANZANIA.

    June 25, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI

    June 24, 2025
  • View

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
More Videos

Quick Links

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Varios Report
  • Council bylaws

Related Links

  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • President's Office Public Service Management
  • Ministry of Education,Science and Technology
  • The National Examinations Council of Tanzania
  • Shinyanga Region
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Tanesco S, Mwanza Road

    Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga

    Telephone: +255-28-2763213

    Mobile: 0759 023 788

    Email: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sitemap
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.