- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
#HABARI PICHA Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya uboreshaji wa miundombinu ya miji Tanzania (TACTIC) iliyofanyika jiji la dodoma ukumbi wa jiji mtumba ambapo mgeni rasmi ni Waziri wa Nchi ofisi ya Rais-Tamisemi Mhe. Mohamed Mchengerwa iliyojumuisha Wakurugenzi, Wabunge, wanasheria na waratibu wa mradi wa halmashauri ambazo wanahusika na mradi hiyo.
Ambapo katika Manispaa ya shinyanga imesaini mkataba wa ujenzi wa stendi ya mabasi makubwa katunda katika kata ya kizumbi pamoja na ujenzi wa barabara ya rami yenye kilomita 5.8 kutoka mwawaza na swyinetone mpaka ndala inategemea kuanza tarehe 15 Julai, 2025 na kukamilika 14 Oktoba, 2026.
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.