• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Shinyanga Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Core values
    • Strategies
  • Administration
    • Administration Boundary
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human resource
      • Secondary Education
      • Primary School
      • Finance
      • Works
      • Agriculture and Cooperative
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Hearth
      • Cleaning and Environment
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • Information, Communication, Technology and Public Relations
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Election
      • Procurement Management
      • Beekeeping and Forest
  • Investment Opportunities
    • Industrialization
    • Farming Opportunity
    • Livestock Keeping
    • Fish breeding
    • Education Opportunity
    • Health Opportunity
  • Our Service
    • Health services
    • Education services
    • Water Services
    • Agriculture Services
    • Livestock Services
    • Fish breeding
    • Huduma za Watumishi
    • Loans Services
    • Service to rent business rooms
    • Sewage Sanitation Services
    • Business Services
      • Business License
      • Business education
      • Industrial auditing
      • Market Managent
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Councilors
    • List of councilors
    • Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Economics, Health and Education Committee
      • Infrastructure Committee
      • Control Aids Committee
      • Ethics Committee
    • Committees Timetable
  • Projects
    • Approved projects
    • On Progress Projects
    • Complete Projects
  • Publications
    • Municipal Bylaws
    • Customer service agreement
    • Strategic plan
    • Reports
    • Application Forms
    • Guidelines
    • Newsletter
  • Media Center
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • Video
    • Training

MANISPAA YA SHINYANGA YAENDELEA NA ZOEZI LA UCHANJAJI WA KUKU BILA MALIPO KUKABILIANA NA MAGONJWA

Posted on: July 9th, 2025





    • MANISPAA YA SHINYANGA YAENDELEA NA ZOEZI LA UCHANJAJI WA KUKU BILA MALIPO KUKABILIANA NA MAGONJWA.

      Na: Shinyanga MC

      Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, kupitia Idara ya Mifugo, inaendelea kutekeleza zoezi la uchanjaji wa kuku kama sehemu ya mkakati wa kudhibiti na kutokomeza magonjwa hatari yanayoathiri sekta ya ufugaji.

      Zoezi hili ambalo ni awamu ya kwanza ya mpango wa chanjo kwa mifugo, linahusisha utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya kideri, ndui, na mafua makali ya kuku.ambapo leo Julai 9, 2025, zoezi hili limeendelea kutekelezwa katika Kata ya Ngokolo na Kata ya Ibadakuli, ambapo wafugaji wa kuku wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha mifugo yao inalindwa dhidi ya milipuko ya magonjwa hayo.

      Wakizungumza kuhusu chanjo hizo, baadhi ya wafugaji wameipongeza serikali kwa kuwapatia chanjo za ruzuku huku wakieleza kuwa hatua hiyo imekuwa msaada mkubwa katika kuboresha afya ya mifugo yao. kwani ufugaji wa kuku umekuwa chanzo muhimu cha kipato,pamoja na fursa za ajira kwa vijana waliopo katika jamii zao.

      Zoezi la uchanjaji huu linaendelea kutolewa bila malipo katika Manispaa ya Shinyanga, ambapo lilianza rasmi Julai 7, 2025, na linatarajiwa kuendelea kwa muda wa wiki mbili likihusisha kata zote 17 za halmashauri ya manispaa ya Shinayanga.

      Hatua hii inaakisi dhamira ya Serikali katika kuboresha sekta ya mifugo, kukuza uchumi wa kaya, na taifa kwa ujumla ambapo manispaa ya Shinyanga inaendelea kuwahamasisha wafugaji wote kushiriki kikamilifu ili kufanikisha azma ya serikali ya kuondoa kabisa vifo vya mifugo vinavyotokana na magonjwa yanayozuilika.


      1w







      • Huduma ipo KATA zote 17 za Manispaa, Ushirika ni KATA ya Chamaguha tulikuwa huko Jana lakini pia unaweza fika Ofisi ya Kata Chamaguha Afisa Mifugo wa KATA atakuhudumia kiongozi.






  • MANISPAA YA SHINYANGA YAENDELEA NA ZOEZI LA UCHANJAJI WA KUKU BILA MALIPO KUKABILIANA NA MAGONJWA.

    Na: Shinyanga MC

    Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, kupitia Idara ya Mifugo, inaendelea kutekeleza zoezi la uchanjaji wa kuku kama sehemu ya mkakati wa kudhibiti na kutokomeza magonjwa hatari yanayoathiri sekta ya ufugaji.

    Zoezi hili ambalo ni awamu ya kwanza ya mpango wa chanjo kwa mifugo, linahusisha utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya kideri, ndui, na mafua makali ya kuku.ambapo leo Julai 9, 2025, zoezi hili limeendelea kutekelezwa katika Kata ya Ngokolo na Kata ya Ibadakuli, ambapo wafugaji wa kuku wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha mifugo yao inalindwa dhidi ya milipuko ya magonjwa hayo.

    Wakizungumza kuhusu chanjo hizo, baadhi ya wafugaji wameipongeza serikali kwa kuwapatia chanjo za ruzuku huku wakieleza kuwa hatua hiyo imekuwa msaada mkubwa katika kuboresha afya ya mifugo yao. kwani ufugaji wa kuku umekuwa chanzo muhimu cha kipato,pamoja na fursa za ajira kwa vijana waliopo katika jamii zao.

    Zoezi la uchanjaji huu linaendelea kutolewa bila malipo katika Manispaa ya Shinyanga, ambapo lilianza rasmi Julai 7, 2025, na linatarajiwa kuendelea kwa muda wa wiki mbili likihusisha kata zote 17 za halmashauri ya manispaa ya Shinayanga.

    Hatua hii inaakisi dhamira ya Serikali katika kuboresha sekta ya mifugo, kukuza uchumi wa kaya, na taifa kwa ujumla ambapo manispaa ya Shinyanga inaendelea kuwahamasisha wafugaji wote kushiriki kikamilifu ili kufanikisha azma ya serikali ya kuondoa kabisa vifo vya mifugo vinavyotokana na magonjwa yanayozuilika.


    1w







    • Huduma ipo KATA zote 17 za Manispaa, Ushirika ni KATA ya Chamaguha tulikuwa huko Jana lakini pia unaweza fika Ofisi ya Kata Chamaguha Afisa Mifugo wa KATA atakuhudumia kiongozi.




Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • View

Latest News

  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2025 MANISPAA YA SHINYANGA

    August 01, 2025
  • ASITISHIWA MKATABA KWA UTOVU WA NIDHAMU

    July 28, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2025 MANISPAA YA SHINYANGA

    July 29, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2025 MANISPAA YA SHINYANGA

    July 28, 2025
  • View

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
More Videos

Quick Links

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Varios Report
  • Council bylaws

Related Links

  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • President's Office Public Service Management
  • Ministry of Education,Science and Technology
  • The National Examinations Council of Tanzania
  • Shinyanga Region
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Tanesco S, Mwanza Road

    Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga

    Telephone: +255-28-2763213

    Mobile: 0759 023 788

    Email: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sitemap
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.