- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Annamringi Macha aongoza zoezi la ugawaji vyandarua kwa wakazi wa mkoa wa Shinyanga tarehe 8 Februari, 2025 zoezi lililofanyika katika Zahanati ya Old Shinyanga ndani ya Manispaa ya Shinyanga ambapo zaidi ya vyandarua milioni moja na laki tano vitagawiwa kwa wananchi wa Halmashauri zote sita za Mkoa wa Shinyanga ili kujikinga na malaria.
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.