• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Shinyanga Municipal Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Vision and Mission
    • Core values
    • Strategies
  • Administration
    • Administration Boundary
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human resource
      • Secondary Education
      • Primary School
      • Finance
      • Works
      • Agriculture and Cooperative
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Hearth
      • Cleaning and Environment
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • Information, Communication, Technology and Public Relations
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Election
      • Procurement Management
      • Beekeeping and Forest
  • Investment Opportunities
    • Industrialization
    • Farming Opportunity
    • Livestock Keeping
    • Fish breeding
    • Education Opportunity
    • Health Opportunity
  • Our Service
    • Health services
    • Education services
    • Water Services
    • Agriculture Services
    • Livestock Services
    • Fish breeding
    • Huduma za Watumishi
    • Loans Services
    • Service to rent business rooms
    • Sewage Sanitation Services
    • Business Services
      • Business License
      • Business education
      • Industrial auditing
      • Market Managent
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Councilors
    • List of councilors
    • Committees
      • Finance and Administration Committee
      • Economics, Health and Education Committee
      • Infrastructure Committee
      • Control Aids Committee
      • Ethics Committee
    • Committees Timetable
  • Projects
    • Approved projects
    • On Progress Projects
    • Complete Projects
  • Publications
    • Municipal Bylaws
    • Customer service agreement
    • Strategic plan
    • Reports
    • Application Forms
    • Guidelines
    • Newsletter
  • Media Center
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • Video
    • Training

DC SAMIZI AFANYA KIKAO NA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MITUMBA NGOKOLO MANISPAA YA SHINYANGA..

Posted on: February 5th, 2024

DC SAMIZI AFANYA KIKAO NA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MITUMBA NGOKOLO MANISPAA YA SHINYANGA.

Na. Shinyanga Mc

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi leo tarehe 5 Februari, 2024 amekutana na wafanyabiashara wa soko kuu la mitumba Ngokolo liliopo katika kata ya Ngokolo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.

Mhe. Samizi amekutana na wafanyabiashara hawa kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali pamoja na kuwakumbusha sheria,na kanuni mbalimbali katika kuendesha biashara ya mitumba.

“ tumeitana hapa kwa lengo la kuwasikiliza na kutatua kero mbalimbali pamoja na kukumbushana sheria, kanunia na taratibu katika uendeshaji wa biashara za mitumba.” amesema Mhe. Samizi

Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Samizi aliwakaribisha wafanyabiashara waweze kutoa changamoto zao, ambapo waliwasilisha changamoto zikiwemo, kuomba uongozi wa Manispaa kupunguza ushuru wa meza na kuomba Manispaa kuendelea kuwatoa wafanyabiashara ambao hawapo sehemu rasmi za biashara ya mitumba na kurudishwa sehemu rasmi ambayo ni soko la ngokolo mitumbani.

Akijibu changamoto hizi Bi. Naely Somi Kaimu Mkuu Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ameeleza kwamba kupunguza ushuru wa meza na kuwa kiasi cha Tsh 20000 kwa mwaka ni jambo ambalo haliwezekani kutoka na sheria na taribu ambazo zimeshapangwa na badala yake ni kuendelea kulipa kiasi cha shilingi 10000/= kwa kila meza kwa mwezi mpaka pale utaribu mwengine utakapo wekwa huku akiwaomba wafanyabiashara kuwa wavumilivu kwani bado wanaendelea kutoa matangazo ya kuwatoa wafanyabiashara wote wa mitumba ambao hawapo sehemu rasmi na warudi katika soko kuu la mitumba ngokolo.

Pamoja na mambo mengine Mhe. Samizi ameitaka ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya shinyanga kwenda kushughulikia changamoto zote walizowasilisha na wafanyabiashara hawa ili kuendelea kuleta maendeleo katika Manispaa na wananchi kwa ujumla.

Ziara hii ya Mhe. Samizi ni mwendelezo wa ziara zake kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali kwa wananchi.


Na. Shinyanga Mc


Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi leo tarehe 5 Februari, 2024 amekutana na wafanyabiashara wa soko kuu la mitumba Ngokolo liliopo katika kata ya Ngokolo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.


Mhe. Samizi amekutana na wafanyabiashara hawa kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali pamoja na kuwakumbusha sheria,na kanuni mbalimbali katika kuendesha biashara ya mitumba.


“ tumeitana hapa kwa lengo la kuwasikiliza na kutatua kero mbalimbali pamoja na kukumbushana sheria, kanunia na taratibu katika uendeshaji wa biashara za mitumba.” amesema Mhe. Samizi


Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Samizi aliwakaribisha wafanyabiashara waweze kutoa changamoto zao, ambapo waliwasilisha changamoto zikiwemo, kuomba uongozi wa Manispaa kupunguza ushuru wa meza na kuomba Manispaa kuendelea kuwatoa wafanyabiashara ambao hawapo sehemu rasmi za biashara ya mitumba na kurudishwa sehemu rasmi ambayo ni soko la ngokolo mitumbani.


Akijibu changamoto hizi Bi. Naely Somi Kaimu Mkuu Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ameeleza kwamba kupunguza ushuru wa meza na kuwa kiasi cha Tsh 20000 kwa mwaka ni jambo ambalo haliwezekani kutoka na sheria na taribu ambazo zimeshapangwa na badala yake ni kuendelea kulipa kiasi cha shilingi 10000/= kwa kila meza kwa mwezi mpaka pale utaribu mwengine utakapo wekwa huku akiwaomba wafanyabiashara kuwa wavumilivu kwani bado wanaendelea kutoa matangazo ya kuwatoa wafanyabiashara wote wa mitumba ambao hawapo sehemu rasmi na warudi katika soko kuu la mitumba ngokolo.


Pamoja na mambo mengine Mhe. Samizi ameitaka ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya shinyanga kwenda kushughulikia changamoto zote walizowasilisha na wafanyabiashara hawa ili kuendelea kuleta maendeleo katika Manispaa na wananchi kwa ujumla.


Ziara hii ya Mhe. Samizi ni mwendelezo wa ziara zake kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali kwa wananchi.


Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • View

Latest News

  • RC MHITA AKABIDHIWA RASMI OFISI YA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA

    July 01, 2025
  • BOTI MPYA YA UOKOAJI ZIWA VICTORIA YAWASILI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 25, 2025
  • MANISPAA YA SHINYANGA YASAINI MIKATABA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA MIJI TANZANIA.

    June 25, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI

    June 24, 2025
  • View

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
More Videos

Quick Links

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Varios Report
  • Council bylaws

Related Links

  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • President's Office Public Service Management
  • Ministry of Education,Science and Technology
  • The National Examinations Council of Tanzania
  • Shinyanga Region
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Tanesco S, Mwanza Road

    Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga

    Telephone: +255-28-2763213

    Mobile: 0759 023 788

    Email: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sitemap
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.