- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga inakaribisha maombi ya Zabuni toka kwa vikundi vyenye sifa stahiki na uwezo kisheria kufanya kazi ya huduma ya kufanya usafi kwenye mitaro, maghuba na maeneo ya wazi, pamoja na uzoaji taka kwenye ngazi ya kaya, taasisi na biashara mbalimbali.Ada ya zabuni ni shilingi elfu hamsini(50,000)
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.