- Home
- About Us
- Administration
- Investment Opportunities
- Our Service
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga anapenda kuwatangazia Watanzania wote kuwa amepata Kibali cha Ajira mbadala chenye Kumb. Na. FA.170|376|01”B”|118 cha Tarehe 06 Fenruari, 2023 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa ajili ya kujaza nafasi ya kazi ya Dereva Daraja la II.
Watanzania wote wenye sifa mnakaribishwa kutuma maombi ya kujaza nafasi hiyo kama ifuatavyo:-
Pakua au Download hapa ili kuliona Tangazo >>> TANGAZO[1].pdf
Tanesco S, Mwanza Road
Postal Address: P.O.Box 28 Shinyanga
Telephone: +255-28-2763213
Mobile: 0759 023 788
Email: md@shinyangamc.go.tz
Copyright ©2018 Shinyanga Municipal Council . All rights reserved.