Posted on: July 26th, 2017
Waganga Wakuu wa Mikoa yote wameagizwa kuhakikisha kila Hopitali inakuwa na dawa maalumu kwa ajili ya wazee pamoja na kuwabaini wazee wote katika mikoa yao ili wapate huduma za afya bila malipo. Naibu...
Posted on: June 23rd, 2017
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga ndugu Albert G. Msovela ametoa wito wa kufanya kazi kwa bidii kwa watumishi wa Halmashauri ya Manispaa Shinyanga ili kumuwakilisha vizuri Rais wa Jamhuri wa Muungano wa...